Fursa wahanga wa ajira

Fursa wahanga wa ajira

Nataman kuanzisha kikundi kiwe km taasisi fulani, tukaenda serikalin hata taasisisi binafsi wakatupiga tafu tufungue miradi yetu, sasa tatizo ni uaminifu
 
Nataman kuanzisha kikundi kiwe km taasisi fulani, tukaenda serikalin hata taasisisi binafsi wakatupiga tafu tufungue miradi yetu, sasa tatizo ni uaminifu
Ukihitaji kufanikiwa lazima u take risk,let's try
 
Kuna fund serikali hutoa kwa vijana wakiwa vikundi mm nliwah fatilia wizara ya vijana nkapewa utaratibu lkn ckuendelea mkiwa wachache wenye nia nendeni mkamuone dr. Kisui yuko vizuri sana anatia moyo pale ofisini kwake karibu na serena hotel
Dr. Sui Wa wapi na ni kama nani mkuu maana kuna wengine hatumjui
 
Mimi sikuweza kuendelea kule. Nilifikiri labda wako mbali sana saivi. Kumbe walipoteana.
Tatizo uaminifu mdogo sana kwenye mambo haya
 
Ipo kwenye button ya option juu hapo
Screenshot_20180427-152828.jpg
 
Back
Top Bottom