Fursa njema kwa kila mtanzania.

Fursa njema kwa kila mtanzania.

Tirus

Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
50
Reaction score
13
FURSA NJEMA KWA KILA MTANZANIA.

Ndugu Wakala,mfanyabiashara, mkuufunzi,walimu na wafanayakazi wa ngazi mbalimbali,

Je unahitaji tili nyingine ya VODACOM MPESA? Kama jibu ni ndiyo, nitumie nakala/photocopy ya TIN-TRA, LESENI Pamoja na KITAMBULISHO CHAKO.

Hakikisha Majina yote yanafanana kwenye LESENI, TIN-TRA pamoja na KITAMBULISHO chako.

Kama hauna vigezo na ungependa kuwa na TILI YA VODACOM MPESA, unaweza kutumia ya ndugu, Jamaa na Marafiki. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mimi kwa kupitia 0768684790,0787899196, 0755-903676 au nitumie e-mail kupitia: cyrusomolo@gmail.com AU S.L.P 10024-Mwanza-Tanzania

Nakutakia Mafanikio mema.
Cyrus Okolah Omolo
Vodacom/Wakala Mkuu
 
una hakika nikikupa hizo docs unakamilisha hilo zoezi baada ya muda gani! kama huna uhakika itachukua muda gani basi hauna tofauti na vodashops! hata miaka kadhaa wanakwambia subiri tu!
 
Back
Top Bottom