Fursa jijini Mombasa

kuna mahali umesema ya arusha au tabora, swali kama ya sehemu ingine like morogogo.
 
Kipumbwi vp prawns na hao Lobster unauzaje mkuu

prawns wapo wadogo na wakubwa,wadogo 15000-1800 per kg na wakubwa 20,000-25000 per kg.

Lobsters 300gm-500gm ni shs 15000-18000 per kg

-500gm and above 20000-3000 per kg

live crabs 5000-7000 per kg.

kwa maongezi zaidi ni pm mkuu!!
 
Ni kweli panaitwa Bamburi...just opposite, Beach karibu zote nilienda, mpaka maeneo ya Nyali beach, Hata mara nyingine nilikuwa nalala kule white sand hotel.... ni hotel kubwa sana halafu bei zao ni nafuu sana compare na hotel za huku kwetu za nyota tano kama hiyo.
 
sawa milion tatu ni mingi sana,waweza fanya milion moja tu,atleast ukatenga na laki 2 za usafiri,wacha nilale juu kesho nitakupa wazo fiti sana,haki wengine nimewapa namba yangu na wananitusi yakuwa najigamba eti najua sana ,maze hiyo si poa but also hata ukinitusi naweza nikaamua asifanye biashara kutoka tz na kweli asifanye weather ataface tough berier within the city

naomba kufahamu soko la madini uko mombasa.naakia lipo zuri sana .ni madini gani kwa kipindi iki yanatoka sana??
 
Watanzania wenzangu tutumie fursa hii kijana mwenzetu kajitolea kutusaidia...tuache maneno maneno jamani..
 
Interest naomba kujua kwa hiyo milioni Moja inatosha Naomba unieleweshe na kama kuna boder problem uniambie kaka.please naomba unijibu kwa email robbysiyanga@gmail.com
 
falcon mombasa
Mkuu nina kama 10 million nataka kufanya ujasiliamali huko
Please hebu nipe muongozo mzuri ni biashara gani nzuri nitaileta huko kutoka tz ambayo unadhani itafaa zaidi
Mind that i got wife nataka biashara ya kuja unauza fasta kwa jumla then inarudi bongo kukusanya mzigo
 
Last edited by a moderator:
falcon mombasa
Mkuu nina kama 10 million nataka kufanya ujasiliamali huko
Please hebu nipe muongozo mzuri ni biashara gani nzuri nitaileta huko kutoka tz ambayo unadhani itafaa zaidi
Mind that i got wife nataka biashara ya kuja unauza fasta kwa jumla then inarudi bongo kukusanya mzigo

jaribu kunipm ,halafu uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kwa yeyote mwenye swali kuhusu fursa za aina mbalimbali katika jiji la Mombasa (MSA) na Kenya in general aniulize hapa. Mimi ni Mtanzania mwenzenu niko hapa kwa mwaka wa tano na napenda kumeet na wapiganaji wenzangu wa maisha.

Kila lililo heri ndugu
 
Interest naomba kujua kwa hiyo milioni Moja inatosha Naomba unieleweshe na kama kuna boder problem uniambie kaka.please naomba unijibu kwa email robbysiyanga@gmail.com

boda hakuna shida sana,unazungumza na konda pemben kabla ya kuanza safar,pia unaweza kumpa hata elfu kumi tsh au 500ksh kama motisha
 
Back
Top Bottom