Fursa jijini Mombasa

Falcon nimependa presentation yako nitakutafuta sababu i like to surround myself with people of new ideas.

Huyo wa kukata kiuno kama feni mbovu the man has ruined my night crazily!
 
Mombasa nilikaa maeneo ya Mtwapa mbele kidogo ya gereza la shimo la Tewa.
Nilikuwa kwenye utafiti wa kilimo.......
 
Mombasa nilikaa maeneo ya Mtwapa mbele kidogo ya gereza la shimo la Tewa.
Nilikuwa kwenye utafiti wa kilimo.......

vp uliona starehe za kukufuru ukiwa mtwapa ? manake hapa mombasa mtwapa ndio kuna kufuru nyingi,mahaba nje nje,mashoga na wasagaji wamejaa huko club za kufuru zipo beach za mtwapa,mombasa raha by the way
 
Mkuu falcon mombasa uliniahidi kunirushia mawasiliano ya dealer wa tumbaku (gursham street). Fanya hivyo ndugu Yangu make nataka nijue jinsi gani biashara hii inafanyika na kama itanilipa..
 
Last edited by a moderator:
hehehe mtz akizungumza kireno amekuwa mreno? mimi nimeadapt juu niko hapa kitambo,by the way kama huna pesa ya mtaji kaa kimya na si kukatisha wenzio tamaa.hakuna anaeomba pesa hapa ni kubadilishana mawazo

unaishi maeneo gan mombasa coz mimi nimeish hapo mji mbovu hakuna cha fursa wala nini hauna tofauti sana na Tanga au Zanzibar
 
vp uliona starehe za kukufuru ukiwa mtwapa ? manake hapa mombasa mtwapa ndio kuna kufuru nyingi,mahaba nje nje,mashoga na wasagaji wamejaa huko club za kufuru zipo beach za mtwapa,mombasa raha by the way
Nilikuwa naenda beach maneno ya Namburi/Nyamburi kama sijakosea karibu na kiwanda cha cement...hapo pana beach ya public kama ilivyo coco beach kwa huku Dar,nilikuwa napenda kujichanganya na watu ili niweze kuwajua tabia zao kwa haraka. Eneo hilo usiku wanauza nadhani miraa na madawa ya kulevya kwani kuna watu wanakuja na magari yao then wanaongea baada ya muda mfupi wanatimua zao...nikajaribu kudodosa wakaniambia wanauza madawa ya kulevya, miraa na bangi
Mombasa kuna starehe zake kwani wazungu (vibibi) vinatafunwa na vijana wa Kimasai, na wabinti wa mombasa vinatafunwa na vibabu vya kizungu...yaani watu wa Mombasa achana nao kabisa....
 
Nilikuwa naenda beach maneno ya Namburi/Nyamburi kama sijakosea karibu na kiwanda cha cement...hapo pana beach ya public kama ilivyo coco beach kwa huku Dar,nilikuwa napenda kujichanganya na watu ili niweze kuwajua tabia zao kwa haraka. Eneo hilo usiku wanauza nadhani miraa na madawa ya kulevya kwani kuna watu wanakuja na magari yao then wanaongea baada ya muda mfupi wanatimua zao...nikajaribu kudodosa wakaniambia wanauza madawa ya kulevya, miraa na bangi
Mombasa kuna starehe zake kwani wazungu (vibibi) vinatafunwa na vijana wa Kimasai, na wabinti wa mombasa vinatafunwa na vibabu vya kizungu...yaani watu wa Mombasa achana nao kabisa....

panaitwa bamburi, , , na wewe ulienda Pirates beach, , , , kwanini ulienda beach ya kichovu hivyo?hata mtwapa hukwenda
 
Kwa yeyote mwenye swali kuhusu fursa za aina mbalimbali katika jiji la Mombasa (MSA) na Kenya in general aniulize hapa. Mimi ni Mtanzania mwenzenu niko hapa kwa mwaka wa tano na napenda kumeet na wapiganaji wenzangu wa maisha.

falcom,nimeona thread yako hapa na nimeisoma,, ninaswali 1 naomba kujua bei ya garlic per kg,,2 tobaco kwa kg nayo plz nataka kufanya one of this. plz
 
Ni pm if possible,maisha magumu sana ndugu yangu,hii ni opotunity kubwa,ngoja tujaribu.
 
falcom,nimeona thread yako hapa na nimeisoma,, ninaswali 1 naomba kujua bei ya garlic per kg,,2 tobaco kwa kg nayo plz nataka kufanya one of this. plz

chukua majani ya tumbaku kama unajua pakuipata ,pesa chapchap
 
Back
Top Bottom