Fursa ambayo hautakiwi ikupite

Fursa ambayo hautakiwi ikupite

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
652
Reaction score
1,579
Habari zenu wadau wa jukwaa hili la biashara. Leo nilikua na fursa ambayo nimepanda niwashilikishe na hii ni maalumu kwa wadau wanaopenda kuongeza maarifa kupitia kusoma vitabu, kwa kutambua umuhimu wa kusoma vitabu leo nimeona nihilete hii fursa kwa wale ambao mmekua mkitafuta vitabu.

Na kama unavyojua vitabu vingi vinauzwa kwa gharama sana sasa kwa kuliona hilo leo napenda kuwatarifu kua sisi tunauza vitabu vya Aina zote kwa bei rafiki sana tuna vitabu vya hadithi za watoto na wakubwa, pia vitabu vya masomo vinapatikana.

Asanteni sana, nyote mnakaribishwa

IMG_20200406_073315_713.jpg
PSX_20200405_230352.jpg
 
Nataka vitabu vifuatavyo.


The secret.

The power of subconscious mind

You are betteer than you think

Free from addiction

Unavyo hivyo kwanza ?
Habari zenu wadau wa jukwaa hili la biashara. Leo nilikua na fursa ambayo nimepanda niwashilikishe na hii ni maalumu kwa wadau wanaopenda kuongeza maarifa kupitia kusoma vitabu, kwa kutambua umuhimu wa kusoma vitabu leo nimeona nihilete hii fursa kwa wale ambao mmekua mkitafuta vitabu.

Na kama unavyojua vitabu vingi vinauzwa kwa gharama sana sasa kwa kuliona hilo leo napenda kuwatarifu kua sisi tunauza vitabu vya Aina zote kwa bei rafiki sana tuna vitabu vya hadithi za watoto na wakubwa, pia vitabu vya masomo vinapatikana.

Asanteni sana, nyote mnakaribishwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom