Mwenyewe hapa nimekangayikiwa!Kichwa cha habari hii kizungumkuti.
Will you plz try again?
hehehehe!Mwenyewe hapa nimekangayikiwa!
Furahi day kwenye mafuriko? LOL!
Pearl wa ukweli huyu!....Pearl bana! mata Pleeeeeeeeeeez mara Furahi dei!!
katoe ulichopledge huko acha maneno...Mwenyewe hapa nimekangayikiwa!
Furahi day kwenye mafuriko? LOL!
yes leo friday tumjibu pearl tukutane waapi na saa ngapi na pearl wasiliana na hao watu uloambiwa uwasiliane nao
nashinwa kuwasiliana nao mpaka nijue ss tumejipanga sa ngapi ili niwape info kamili
Wasiliana nao tu ujue ratiba yao ikoje kisha sisi wadau ndipo tukubaliane muda muafaka kwa wote.
wasiliana na maxcence!............the simplest and best method!hapo moja kwa moja SANCTUS MTSIMBE utakuwa umempatapouwa basi nimepewa watu kama 3 ivi mmoja wapo michuzi je niwasiliane na nani?mm picha nooooooo
wasiliana na maxcence!............the simplest and best method!hapo moja kwa moja SANCTUS MTSIMBE utakuwa umempata
weekend imeanza mnaanza kupanga makutano eeh
pouwa basi nimepewa watu kama 3 ivi mmoja wapo michuzi je niwasiliane na nani?mm picha nooooooo
picha muhimu so michuzi awepo na aturushe hewanii kwenye michuzi
mmh hapo ndipo pabayaaaaaaaa