Furaha

Furaha

Napenda Kuonesha Furaha Yangu Juu Ya Site Hii Kwani Nilikuwa Natafuta Mke Wa Kuoa! Kwasasa Niebahatika Kufanya Mawasiliano Na Akina Dada Wawili, They Are All Beautiful! My Hope Is That One Of Them Will Be Mine! Bado Nazidi Kuwafanyia Usaili Mmoja Ni Mmasai Na Mwingine From Moro! Siku Mipango Yangu Ikikamilika Nitawaalika Wana Jamii Forum Ili Tuenjoy Wote! Thanx Once Again! Weekend Njema! Nawapenda Sana!

sijaelewa yaani unamanisha utatuarika siku ambayo utakuwa unakula mzigo au?
 
Kuna reason hilo jarida la kikiristo limem take serious huyo comedian
mtu kuwa comedian hakumfanyi asiongee cha maana

kuna jf member anaitwa Gavana atakuja kukupa link

[h=3]Popes accused of having male lovers during pontificate[/h]
  • Pope Paul II (1464–1471) is popularly thought to have died due to indigestion arising from eating melon in excess, though a rumour was spread by his detractors that he died while engaging in sodomy.[SUP][/SUP]
  • Pope Sixtus IV (1471–1484) was alleged to have awarded gifts and benefices to court favourites in return for sexual favours. Giovanni Sclafenato was created a cardinal by Sixtus for "ingenuousness, loyalty,...and his other gifts of soul and body", according to the papal epitaph on his tomb.[SUP][/SUP]
  • Pope Leo X (1513–1521) was allegedly a practising homosexual, according to some modern and contemporary sources (Francesco Guicciardini and Paolo Giovio). He was alleged to have had a particular (albeit one-sided) infatuation for Marcantonio Flaminio[SUP][/SUP]
  • Pope Julius III (1550–1555) was alleged to have had a long affair with Innocenzo Ciocchi del Monte. The Venetian ambassador at that time reported that Innocenzo shared the pope's bed.[SUP][/SUP]

List of sexually active popes - Wikipedia, the free encyclopedia


Papal infallibility - Wikipedia, the free encyclopedia
 
safari yako bado ndefu mkuu kama ni kweli,subiri ufike mwisho ndio utoe ya moyoni,vuka mto kwanza ndo uanze kujipongeza.
 
Popes accused of having male lovers during pontificate


  • Pope Paul II (1464–1471) is popularly thought to have died due to indigestion arising from eating melon in excess, though a rumour was spread by his detractors that he died while engaging in sodomy.
  • Pope Sixtus IV (1471–1484) was alleged to have awarded gifts and benefices to court favourites in return for sexual favours. Giovanni Sclafenato was created a cardinal by Sixtus for "ingenuousness, loyalty,...and his other gifts of soul and body", according to the papal epitaph on his tomb.
  • Pope Leo X (1513–1521) was allegedly a practising homosexual, according to some modern and contemporary sources (Francesco Guicciardini and Paolo Giovio). He was alleged to have had a particular (albeit one-sided) infatuation for Marcantonio Flaminio
  • Pope Julius III (1550–1555) was alleged to have had a long affair with Innocenzo Ciocchi del Monte. The Venetian ambassador at that time reported that Innocenzo shared the pope's bed.

List of sexually active popes - Wikipedia, the free encyclopedia


Papal infallibility - Wikipedia, the free encyclopedia


nilitaka wale Popes ambao walikuwa atheists kwa siri
 
Napenda Kuonesha Furaha Yangu Juu Ya Site Hii Kwani Nilikuwa Natafuta Mke Wa Kuoa! Kwasasa Niebahatika Kufanya Mawasiliano Na Akina Dada Wawili, They Are All Beautiful! My Hope Is That One Of Them Will Be Mine! Bado Nazidi Kuwafanyia Usaili Mmoja Ni Mmasai Na Mwingine From Moro! Siku Mipango Yangu Ikikamilika Nitawaalika Wana Jamii Forum Ili Tuenjoy Wote! Thanx Once Again! Weekend Njema! Nawapenda Sana!
Good luck and bright future!!
Na wala usikaribie zinaa!
 
Kuna real Popes ambao in private walikuwa atheists
lakini walifanikiwa kuwa Roman Catholics Popes

Bill Maher Says Pope Francis Might Be Atheist

Ma pope karibu wote wanajua hakuna mungu. Ili kuwa pope, hususan kwa dunia ya leo, inabidi usome sana theolojia na falsafa. Unavyozidi kusoma theolojia na falsafa, ndivyo unavyozidi kuona kwamba mungu huyu wa biblia uwezekano wa kuwapo kiuhalisi nje ya imani ni mdogo au haupo kabisa.

Kuna watu wanasema kwamba, kama mungu hayupo, kuna haja ya kumtengeneza awepo.

Kwa maana ya kwamba, wao wanajua kwamba mungu hayupo, lakini wanafikiri kwamba, idea ya kuwepo kwa mungu imesaidia sana kuweka order duniani, na kama leo kila mtu akijua na kuishi kama mungu hayupo, dunia itakuwa na fujo sana, maskini watapora, wenye nguvu watatumia nguvu zao kujitajirisha etc.

Kwa hiyo, kwa kujua hilo, wanasambaza "a noble ignorance", ujinga unaofanya dunia iwe na order kwa kuamini kwamba mungu yupo.

Ukisoma hiostoria ya mapapa utaona hili sana tu, waliongozwa na human interests wakazivika joho la utakatifu wa mungu.

hata kama wewe si mtu wa kusoma na uko visual zaidi tafuta TV series ya Showtimes inaitwa "The Borgias". They tried to be very faithful to the actual history.
 
Walikuwaje ma atheists kwa siri kama inajulikana kuwa walikuwa ma atheists?


Huyo Gavana aliwahi weka hapa JF historia zao zilivyoandikwa
na historians....na wapo Popes ambao kabla hawajawa Popes waliwahi kusikika wakisema
'there is no God'...kwa watu wao wa karibu

ilikuja kujulikana after walipokufa na watu waliochimba historia zao na maisha yao kwa ujumla
 
Last edited by a moderator:
Umesoma mtiririko wa reasoning?

Umesoma historia ya Upapa?

Umesoma historia ya The Borgias?

Unajua maana ya jubu??

Ni wapi umeandika namna walivyojua hakuna Mungu?

Wapi umeandika ulivyojua uliyoandika??
 
Unajua maana ya jubu??

Ni wapi umeandika namna walivyojua hakuna Mungu?

Wapi umeandika ulivyojua uliyoandika??

Jubu sijui ni kitu gani hicho, unisaidie kukuza msamiati labda.

Maswali yangu hujayajibu.
 
Jubu sijui ni kitu gani hicho, unisaidie kukuza msamiati labda.

Maswali yangu hujayajibu.

Jubu ni kiuno cha papa!!

Nilianza kukuuliza swali na hujajibu hata moja badala yake umeuliza

Unaehitajika kujibu ni wewe uliyeulizwa kabla

Tafadhali jibu acha longolongo!!
 
Jubu ni kiuno cha papa!!

Nilianza kukuuliza swali na hujajibu hata moja badala yake umeuliza

Unaehitajika kujibu ni wewe uliyeulizwa kabla

Tafadhali jibu acha longolongo!!

Kiuno cha papa kimefanyaje hapa? Watu tumeona kiuno cha nguru, nini cha papa!

Majibu yangu yatahusisha references kwenye historia ya The Borgias na Machiavelli sasa kama hujapandisha hata kidogo tu mambo hayo, majibu yangu yatakuwa sawa na kutokukujibu.

Ndiyo maana kabla ya kujibiwa umepewa prerequisites hapo.

Siwezi kuanza kukufundisha Euclidean geometry kabla ya kuanza kukueleza core Euclidean axioms and principles.

Wewe unataka tuingie kwenye kujadili geometry wakati hata core principles hujazijua.

Ukweli ni kwamba, si tu hawa mapapa walikuwa atheists, bali pia hata watu wengi wanaojiita "wakristo" leo, kwa kutumia definition ya "wakristo" kama watu wanaomfuata yesu kristo, ni wakristo jina.

Matendo yao yako mbali kabisa na ukristo.
 
Kiuno cha papa kimefanyaje hapa? Watu tumeona kiuno cha nguru, nini cha papa!
Nguru anahusikaje hapa?Umejuaje kama nilikuwa namzungumzia papa mtu au samaki?
Majibu yangu yatahusisha references kwenye historia ya The Borgias na Machiavelli sasa kama hujapandisha hata kidogo tu mambo hayo, majibu yangu yatakuwa sawa na kutokukujibu.
Yakowapi hayo majibu?
Ndiyo maana kabla ya kujibiwa umepewa prerequisites hapo.

Siwezi kuanza kukufundisha Euclidean geometry kabla ya kuanza kukueleza core Euclidean axioms and principles.

Wewe unataka tuingie kwenye kujadili geometry wakati hata core principles hujazijua.

Ukweli ni kwamba, si tu hawa mapapa walikuwa atheists, bali pia hata watu wengi wanaojiita "wakristo" leo, kwa kutumia definition ya "wakristo" kama watu wanaomfuata yesu kristo, ni wakristo jina.

Matendo yao yako mbali kabisa na ukristo.

Inaonekana hata hujui swali langu lilikuwa linahitaji majibu gani

Sijakuuliza kuhusiana na Wakristo
Maswali yangu hujayasoma?
Au hujui kusoma?
Au unasoma na huelewi?

Mwandishi wa "The borgias" hayupo hapa na wewe ndie uliyeandika hapa kuhusu hiyo kitu
Mwandishi wa Machiavelli hajaandika chochote hapa ila Kiranga ndio kaandika hapa

Wewe ndie unadai umewasoma na ndiko ulipotoa hayo maelezo kuwa hao mapapa wanajua kuwa Mungu hayupo
Wewe uliyewasoma ndie ninakuuliza wamejuaje ili uuweke hapa huo ujuzi
Hujafanya hivyo na unaleta longolongo tu hapa

Nimekuuliza kuwa wewe umejuaje kuwa hao wanajua kuwa Mungu hayupo huajibu naona unaleta ngonjera tu hapa

Inawezekana kabisa hata kuelewa hicho unachodai kukisoma hujaelewa ndio maana ukafikia hitimisho ambalo umeshindwa kulitetea kwa fact na uthibitisho

Huenda wenzako wamesema walionana na Mungu wewe ukaelewa kuwa walionana na misukule,ndio maana tunahitaji utuletee huo ujuzi uliosema wanao ili nasi tuuone

Kudai tu sijui akina machiavelli au the borgias hakuwezi kumfanya yoytote yule akatafuta hizo hadithi na kuzisoma kama wewe umeshindwa kutuambia hapa kuna nini kwenye hizo hadithi na kututhibitishia kama hicho ilichokisema kina ukweli au ni ndoto zako tu

Jibu maswali yangu acha longo longo ...!!!!!!!!
 
Nguru anahusikaje hapa?Umejuaje kama nilikuwa namzungumzia papa mtu au samaki?

Yakowapi hayo majibu?


Inaonekana hata hujui swali langu lilikuwa linahitaji majibu gani

Sijakuuliza kuhusiana na Wakristo
Maswali yangu hujayasoma?
Au hujui kusoma?
Au unasoma na huelewi?

Mwandishi wa "The borgias" hayupo hapa na wewe ndie uliyeandika hapa kuhusu hiyo kitu
Mwandishi wa Machiavelli hajaandika chochote hapa ila Kiranga ndio kaandika hapa

Wewe ndie unadai umewasoma na ndiko ulipotoa hayo maelezo kuwa hao mapapa wanajua kuwa Mungu hayupo
Wewe uliyewasoma ndie ninakuuliza wamejuaje ili uuweke hapa huo ujuzi
Hujafanya hivyo na unaleta longolongo tu hapa

Nimekuuliza kuwa wewe umejuaje kuwa hao wanajua kuwa Mungu hayupo huajibu naona unaleta ngonjera tu hapa

Inawezekana kabisa hata kuelewa hicho unachodai kukisoma hujaelewa ndio maana ukafikia hitimisho ambalo umeshindwa kulitetea kwa fact na uthibitisho

Huenda wenzako wamesema walionana na Mungu wewe ukaelewa kuwa walionana na misukule,ndio maana tunahitaji utuletee huo ujuzi uliosema wanao ili nasi tuuone

Kudai tu sijui akina machiavelli au the borgias hakuwezi kumfanya yoytote yule akatafuta hizo hadithi na kuzisoma kama wewe umeshindwa kutuambia hapa kuna nini kwenye hizo hadithi na kututhibitishia kama hicho ilichokisema kina ukweli au ni ndoto zako tu

Jibu maswali yangu acha longo longo ...!!!!!!!!

Unfortunately you do not meet the minimum prerequisite to enroll in this class.
 
Back
Top Bottom