BenElohimy
Senior Member
- Sep 21, 2021
- 181
- 222
Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.
Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.
Ishi kwa furaha.
Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.
Ishi kwa furaha.