Furaha tele

BenElohimy

Senior Member
Sep 21, 2021
181
222
Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.

Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.

Ishi kwa furaha.
 
Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.

Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.

Ishi kwa furaha.
Achana kwanza na habari za furaha we ngano kilo bei gani uko vp mafuta lita!!!?
 
Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili.

Lakini Jumapili ya leo nakuambia furahia pale ulipo, naam na kule unakoelekea utafika kwa msaada wa Bwana. Furahia maisha uliyonayo, furahia vile ulivyo navyo.

Ishi kwa furaha.
Asante kwa ujumbe mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom