Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Baada ya kutolewa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Dkt. Charles Kichere Machi 27, 2025, Ikulu jijini Dar es Salaam, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Furaha Dominic, amependekeza itumike adhabu ya kunyongwa kwa wale wote waliohusika katika ubadhirifu wa fedha uliobainishwa kwenye ripoti ya CAG.
Soma Pia: Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
Miongoni mwa mambo yaliyotajwa na Dkt. Kichere mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kuhusu Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambalo linadaiwa Tsh. bilioni 238.71 na kampuni ya IPTL, ikijumuisha deni halisi la Tsh. bilioni 111.48 na riba ya Tsh. bilioni 127.22.
Soma Pia: Rais Samia akipokea Ripoti ya CAG kwa Mwaka 2023/2024 Ikulu Dar, Machi 27, 2025
Miongoni mwa mambo yaliyotajwa na Dkt. Kichere mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ni kuhusu Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambalo linadaiwa Tsh. bilioni 238.71 na kampuni ya IPTL, ikijumuisha deni halisi la Tsh. bilioni 111.48 na riba ya Tsh. bilioni 127.22.