Furaha Dominic, Mpwa wa Hayati Magufuli apandishwa Kizimbani kwa kusambaza Picha za Ngono

Duuh huyo Adamu ni nani? Alifanya nini na hizo picha walizipata wapi?
 
Tajiri kijana kabisa. Kijana mtanashati. Kiongozi mkubwa kabisa pale TCB.
Vijana walistalk ili wapate video wazitumie kupiga hela. Kijana ndio mambo yake huyo. Ishukuriwe tripple 7 imefungwa. Ndio vuna pesa style yake huyo.
Hebu nikumbushe Tripple 7 ni wapi.
 
Subiri kwanza,unaelewa tafsiri ya neno bilionea? Semi 10 haziwez kumfanya mtu kuwa bilionea Tengua kauli ndo tuendelee na mjqdala!!
 
Kabla huja jaribu ku black mail viongozi, make shure una backup plan ya nguvu. When things go south uwe na plan
 
Huyu dogo kumbe alikuwemo kwenye tume ya makinikia?
 
we umesahau mabilionea wa Arusha? mtu ana V8 mbili na range moja tayari bilionea
billionaire lazima uwe una miliki vitu au hela vyenye thamani ya $1B na kuendelea sio Tsh au ksh

millionaire $1M nakuendelea

kwaiyo wewe kama una Tsh million 1 utaitwa millionaire ?
 
MADHARA YA KUMTEGEMEA MWANADAMU (mwendazake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…