johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Furaha Dominic ambaye ni mtoto wa dada wa hayati Magufuli amesema haoni tofauti yoyote kati ya utawala wa mjomba wake na Rais wa sasa mh Samia.
Dominic ambaye aligombea ubunge Kawe amesema hajawahi kumuona mtu mwongo hapa duniani kama askofu Gwajima.
Kipindi kiko mubashara Star tv, karibu
Updates;
Dominic ambaye aligombea ubunge Kawe amesema hajawahi kumuona mtu mwongo hapa duniani kama askofu Gwajima.
Kipindi kiko mubashara Star tv, karibu
Updates;