Fupi tamu jamani ... ila ndefu hakika inakera!

Fupi tamu jamani ... ila ndefu hakika inakera!

Hizi nyuzi zingine, zinaturudisha darasa la awali kabisaa!!
 
Hizi nyuzi zingine, zinaturudisha darasa la awali kabisaa!!. Sasa yako ikoje -weka mchoro.
 
Ukitaka kula ukubali kuliwa nayo hii vipi?
 
Ile nyimbo ya wagosi yaani ninaitafakari halafu nabaki kucheka mwenyewe,jamaa wametisha sana.
 
Great thinkers, naombeni mawazo yenu kuhusu hii slogan ya channel 5.

Je huu msemo unazingatia maadili ya mtanzania? tcra hawana la kusema juu ya hii misemo ya kingonongono hadharani?

hakika nakereka sana na huu usemi pindi unaposemwa nikiwa nimekaa sebuleni na watoto wangu.

samahani kama heading imekukera pia.

Wewe ndo akili yako inafikiria ngono tu! Hebu tufafanulie huo usemi umeuelewaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom