Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
Hiyo ni misemo tu ambayo ipo katika fumbo, hivo kutokana na mawazo ya baadhi ya watanzania kuwanza kushoto kulia basi hata sentensi sahihi uonekana ni matusi!!
Unaikumbuka hii fumbo hili darasa la ngapi? "kapigwa chini kavimba juu"
Hili si fumbo bali ni maneno ya kiukweli kuhusu mademu vicheche. Utawasikia mie bikira, baada ya muda tumbo hilo na ndipo unakuja msemo wa kapigwa chini kavimba juu.