MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 7,985
- 6,248
...alishawahi tokea mmoja yule tajiri wa madini kule mererani miaka ile askofu mollel alikuwa akitembea na mfuko wa maliboro umejaa pesa na kuzimwaga mitaani ila sikuhizi ndo hivo tena choka mbaya..Hivi bongo nani huwaga anagawa pesa?