Mtu mwema sana aliyejaa ukarimu. Namba "7" imenigusa mno. Siyo wengi wenye silika hiyo utasikia Oh Fulani hili,,,,, sana. Kwa hili alale vema anakostahili.Aiseee the dude was so humble.. Daaah hiyo #10 imenigusa sana.. Very good of him!!
Kifo south Africa.
Kuzikwa Uganda.
Msiba Tanzania.
Hakuna utajiri wa kwenye Blood Pale!daaaahh ofcoz nimejifunza kitu........lkn huko kugombania mali kwa ndugu mbona kuna mzee wao alisema utajiri upo kwny blood
daaaahh ofcoz nimejifunza kitu........lkn huko kugombania mali kwa ndugu mbona kuna mzee wao alisema utajiri upo kwny blood
wengine wanaongea tu utafkiri wameona hizo documentMh uliona alichoandika?
Hahaaaa we kweli mzaramoKifo south Africa.
Kuzikwa Uganda.
Msiba Tanzania.
Jack PembaHivi bongo nani huwaga anagawa pesa?
Angekua jinsia pendwa,kweli ungegawa kama alivyokua anagawa pesa Ivan... au unajisifu tu kwenye keypad,tuwe fea tunapokomenti mkuu,yawezekana hufikii hata robo ya utajiri aliokua nao Ivan,ok anyway,endelea kujisifu kwenye keypad,yawezekana ni mtu wakuhonga kwa jinsia pendwa kama ulivyojitanabaisha.Inategemea na jinsia yako....Kama wewe ni jinsia pendwa tupo wengi wa kukugawia pesa.
Hana utajiri wowote! Wanaomsifia hawajui Matajiri ni naniTuambieni kazi yake ilikuwa nini?
Sio mnasifia utajiri tu!!!!
Alikuwa mfanyabiashara mmiliki wa "Brooklyn College za South Africa. Chuo kina Campus zaidi ya tatu. Ila ni jinsi gani alivyoweza kuingia SA na kutoka kimaisha ni kama tu wazamiaji wa kwetu!Tuambieni kazi yake ilikuwa nini?
Sio mnasifia utajiri tu!!!!
Lazima ijulikane alianzaje, kinyume chake ni upuuzi kumjadiliAlikuwa mfanyabiashara mmiliki wa "Brooklyn College za South Africa. Chuo kina Campus zaidi ya tatu. Ila ni jinsi gani alivyoweza kuingia SA na kutoka kimaisha ni kama tu wazamiaji wa kwetu!