jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Napenda kuwapa somo dogo ndugu zangu wa CHADEMA kwa kuwa mnaendelea kujifunza siasa.
Kuna msemo wa kiswahili unaoonya kuhusu kumuiga Tembo Kunya....Mtamalizia wenyewe!!
Nimefuatilia mara kadhaa kamati kuu ya CHADEMA hasa katika kipindi hiki baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 wakijaribu kupanga mikutano na matamko katika siku au wiki ambazo kamati kuu ya CCM au jumuiya zake muhimu zinapofanya mikutano.
Style hii ni mpya kidogo pengine ni katika juhudi za kuongeza ushindani dhidi ya Chama tawala CCM.Utaratibu huu unaelekea umeletwa na mmoja wa makapi kutoka CCM anayejaribu kuifanya Chadema ionekane kama Chama kinachoongoza dola CCM.
Sio mbaya kuiga mambo mengi na mazuri kutoka CCM kwani CCM ni chama kikongwe na chenye hazina kubwa ya ubunifu.
Hoja yangu ni moja tu siku ya leo..kwamba mnapoona mbinu mliyocopy na kupaste inagoma kuwaletea matokeo tarajali hamna budi mara moja kuachana nayo kwa kuwa bila kufanya hivyo mntaishia kupata aibu na kuwapunguzia morali.
Juma hili kamati kuu ya Chadema imekutana na ilitarajiwa kwa mujibu wa wanapropaganda wa Chadema mitandaoni kuja na maazimio au matamko mazito kama ilivyo desturi yao ya kututia kamba.
Ninachojiuliza ni kimoja tu....je kiherehere cha kupanga mkutano wao sambamba na mikutano kadhaa ya jumuiya za CCM walikitoa wapi?mimi sina jibu ila wanabavicha mnaeeza kunisaidia.
Ni aibu kubwa kwa mara nyingine kamati kuu ya Chadema inajizolea kwa kujaribu kujilinganisha na Chama kubwa CCM katika mazingira ambayo yanaonesha wazi utofauti wa kiwango cha Mbingu na Ardhi kati ya vyama hivi iwe ni kwa coverage,support,agenda na organisation.
Mfano:Mkutano mmoja tu wa jumuiya za CCM yaani mkutano wa UVCCM uliweza kuzima kabisa mjadala wa kikao cha kamati kuu ya Chadema.Hii ni aibu inayohitaji tathmini.
Niendelee kuwaasa ndugu zangu wa CDM kuwa wabunifu na kuja kivingine ili kweli kuonesha kuwa kama wapinzani mna jipya la kuiletea nchi.
Achaneni kupokea mawazo ya makapi ya CCM na mafisadi waliofanya Chadema kuwa chaka lao...watawapotosha.
KWA LEO NI HAYA TU...
HAPA KAZI TU!
Kuna msemo wa kiswahili unaoonya kuhusu kumuiga Tembo Kunya....Mtamalizia wenyewe!!
Nimefuatilia mara kadhaa kamati kuu ya CHADEMA hasa katika kipindi hiki baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 wakijaribu kupanga mikutano na matamko katika siku au wiki ambazo kamati kuu ya CCM au jumuiya zake muhimu zinapofanya mikutano.
Style hii ni mpya kidogo pengine ni katika juhudi za kuongeza ushindani dhidi ya Chama tawala CCM.Utaratibu huu unaelekea umeletwa na mmoja wa makapi kutoka CCM anayejaribu kuifanya Chadema ionekane kama Chama kinachoongoza dola CCM.
Sio mbaya kuiga mambo mengi na mazuri kutoka CCM kwani CCM ni chama kikongwe na chenye hazina kubwa ya ubunifu.
Hoja yangu ni moja tu siku ya leo..kwamba mnapoona mbinu mliyocopy na kupaste inagoma kuwaletea matokeo tarajali hamna budi mara moja kuachana nayo kwa kuwa bila kufanya hivyo mntaishia kupata aibu na kuwapunguzia morali.
Juma hili kamati kuu ya Chadema imekutana na ilitarajiwa kwa mujibu wa wanapropaganda wa Chadema mitandaoni kuja na maazimio au matamko mazito kama ilivyo desturi yao ya kututia kamba.
Ninachojiuliza ni kimoja tu....je kiherehere cha kupanga mkutano wao sambamba na mikutano kadhaa ya jumuiya za CCM walikitoa wapi?mimi sina jibu ila wanabavicha mnaeeza kunisaidia.
Ni aibu kubwa kwa mara nyingine kamati kuu ya Chadema inajizolea kwa kujaribu kujilinganisha na Chama kubwa CCM katika mazingira ambayo yanaonesha wazi utofauti wa kiwango cha Mbingu na Ardhi kati ya vyama hivi iwe ni kwa coverage,support,agenda na organisation.
Mfano:Mkutano mmoja tu wa jumuiya za CCM yaani mkutano wa UVCCM uliweza kuzima kabisa mjadala wa kikao cha kamati kuu ya Chadema.Hii ni aibu inayohitaji tathmini.
Niendelee kuwaasa ndugu zangu wa CDM kuwa wabunifu na kuja kivingine ili kweli kuonesha kuwa kama wapinzani mna jipya la kuiletea nchi.
Achaneni kupokea mawazo ya makapi ya CCM na mafisadi waliofanya Chadema kuwa chaka lao...watawapotosha.
KWA LEO NI HAYA TU...
HAPA KAZI TU!