Uchaguzi 2020 Funzo kwa CHADEMA: Next time msiandae mikutano yenu sambamba na ya CCM!

Ziko threads husika katika hayo...na tumeyatolea majibu.by the way kilo ya korosho ni 4000 kule kusini kutoka 1000 mwaka 2015.sasa utajaza mwenyewe kama pato la mkulima(75% ya watanzania) limepanda au la?
Ila nikiri kuwa pato la mtanzania fisadi limeporomoka kwa kasi ya ajabu sana.
Una uhakika na unachokinena? tupe na takwimu za mbaazi na choroko kwa kulinganisha 2015 na 2017;
 
Hata JPM ana ID fake kama 3....moja anasoma tuu....nyingine anajibu kwa mihemko kama wana lumumba vilaza wengine tuu.....ingine ya kutukana wapinzani kama Lumumba tuuu
 
Chadema hawana shida isipokuwa kwa media za namna hii ambazo zote zinajikomba kwa watawala hazitowi kabisa fursa sawa kwa vyama vyote vya siasa ndo maana utasikia vinaandika Anna Mghwira kujiunga ccm in breaking News vina upendeleo wa hali ya juu sana anzia vinaonesha live mikutano ya ccm ya upinzani no kuanzia ITV azam millardayo clouds Chanel ten efm magic
 
Huwezi kuisaidia Serikali kama wakati inapambana na mafisadi wewe unasema wanaonewa.

Wakati inanunua ndege wewe unaona wivu.
Wakati inajenga reli unabeza.!!

Hapo ndipo unapodhihirisha tafsiri ya jina lako...

Wakati unafanya hivyo vitu vyooote hao wanaobeza,wenye wivu, nk HUWA WANAWASHIKA MIKONO MSHINDWE KUFANYA?
KAMA MNAFANYA NA MNA UHAKIKA NI TIJA FANYENI TUTAONA MATOKEO HALAFU TUPIME, TUTAKAPO PIMA NA KUONA KUNA SHIDA MAHALA LAZIMA PIA TUSEME..
 
Vipi kuhusu pato la Mtanzania limeongezeka ama limepungua?

Vipi kuhusu umeme.... Ni wa uhakika ama?
Kwani kwenye kamati kuu yenu mliongelea hayo na kuja na matamko au mmekuja na matamko ya kutocheza mpira na bunge la Africa?
 
Ccm ndy makarai ndiyo maana baba yenu anachukua kwa gharama ili awape nafasi ya uongozi maana makarai hayawezi pelekwa sebuleni hata hili hamtambui?
 
Napenda kuwapa somo dogo ndugu zangu wa Chadema kwa kuwa mnaendelea kujifunza siasa.

Kuna msemo wa kiswahili unaoonya kuhusu kumuiga Tembo Kunya....Mtamalizia wenyewe!!

Nimefuatilia mara kadhaa kamati kuu ya Chadema hasa katika kipindi hiki baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 wakijaribu kupanga mikutano na matamko katika siku au wiki ambazo kamati kuu ya CCM au jumuiya zake muhimu zinapofanya mikutano.

Style hii ni mpya kidogo pengine ni katika juhudi za kuongeza ushindani dhidi ya Chama tawala CCM.Utaratibu huu unaelekea umeletwa na mmoja wa makapi kutoka CCM anayejaribu kuifanya Chadema ionekane kama Chama kinachoongoza dola CCM.

Sio mbaya kuiga mambo mengi na mazuri kutoka CCM kwani CCM ni chama kikongwe na chenye hazina kubwa ya ubunifu.

Hoja yangu ni moja tu siku ya leo..kwamba mnapoona mbinu mliyocopy na kupaste inagoma kuwaletea matokeo tarajali hamna budi mara moja kuachana nayo kwa kuwa bila kufanya hivyo mntaishia kupata aibu na kuwapunguzia morali.

Juma hili kamati kuu ya Chadema imekutana na ilitarajiwa kwa mujibu wa wanapropaganda wa Chadema mitandaoni kuja na maazimio au matamko mazito kama ilivyo desturi yao ya kututia kamba.

Ninachojiuliza ni kimoja tu....je kiherehere cha kupanga mkutano wao sambamba na mikutano kadhaa ya jumuiya za CCM walikitoa wapi?mimi sina jibu ila wanabavicha mnaeeza kunisaidia.

Ni aibu kubwa kwa mara nyingine kamati kuu ya Chadema inajizolea kwa kujaribu kujilinganisha na Chama kubwa CCM katika mazingira ambayo yanaonesha wazi utofauti wa kiwango cha Mbingu na Ardhi kati ya vyama hivi iwe ni kwa coverage,support,agenda na organisation.

Mfano:Mkutano mmoja tu wa jumuiya za CCM yaani mkutano wa UVCCM uliweza kuzima kabisa mjadala wa kikao cha kamati kuu ya Chadema.Hii ni aibu inayohitaji tathmini.

Niendelee kuwaasa ndugu zangu wa CDM kuwa wabunifu na kuja kivingine ili kweli kuonesha kuwa kama wapinzani mna jipya la kuiletea nchi.

Achaneni kupokea mawazo ya makapi ya CCM na mafisadi waliofanya Chadema kuwa chaka lao...watawapotosha.

KWA LEO NI HAYA TU...

HAPA KAZI TU!
Kwani Mkuu hapa katikati palitokea mkutano wa chadema nje ya vikao vya chama dume vinavyoendelea?
 
Unapimaje mafanikio? Au unatumia kipimo cha kiccm kujua mafanikio. Wananchi wamepata ujumbe wa cdm na wale wanaukubali upinzani na kupuuza siasa za kishenzi hawatashiriki uchaguzi wowote unaoandaliwa na tume ya wahuni chini ya mwenyekiti wa ccm.
Nitafurahi moyo huu ukiendelea hata 2020 tupunguze gharama za uchaguzi, lakini nikifikiria ruzuku ilivyo na umuhimu sizani kama mpo tayari kutoshiriki uchaguzi huo!..
 
Nitafurahi moyo huu ukiendelea hata 2020 tupunguze gharama za uchaguzi, lakini nikifikiria ruzuku ilivyo na umuhimu sizani kama mpo tayari kutoshiriki uchaguzi huo!..

Mimi maisha yangu hayaendeshwi na ruzuku ya siasa. Wanaotegemea ruzuku ndio wataathirika wala sio mimi.
 
Chadema ni chama cha ovyo sana, ukiangalia hata jumuiya zake hazieleweki kwa mf bawacha,bavicha
 
Back
Top Bottom