Funzo kutoka kwa Elevenn/de Gunner

Dah!!๐Ÿคฃ
 
Kuna jamaa nakumbuka nae alkiuaga na pigo hizi, yan yeye akikuambia nyumban kwang nina TV ya nchi 55 ukambishia kuwa hana hela au uwezo huo kesho anakodi bodaboda anakuja nayo kukuonesha kabisa.

What you think about this kind?
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Mtsieeww em toka huko!!
Nia yako mbavu ziniume..!!
 
Ni dogo tu wa makamo, na kama ndo hivyo kun kipindi nilipaleka vijana wakabandike bango za yas. Ukafanyikq ujinga ujinga flan hiv wakadhulumiwa, wakaja hapa kunililia sana kwamba mm tapeli.
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Dah nimecheka sana anapiga michongo mbalimbali ya kingadu..!!
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Dah nimecheka sana anapiga michongo mbalimbali ya kingadu..!!
Ah vijana wa hum ujanja wao nyuma ya keyboard tu. Sema mm niko kariakoo hapa Donge muda huu we uko wap nije?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ