isyesye
Member
- Aug 14, 2016
- 51
- 22
Thanx kakaUSHAURI
Kaombe ushauri Idara ya veterinary pale SUA, Morogoro funza aina hiyo wanene wanaweza kusababisha kuku wasitage. muone Prof. Mdegela atakupa experience ya wakulima wa Njombe na ushauri.
Thanx kakaUSHAURI
Kaombe ushauri Idara ya veterinary pale SUA, Morogoro funza aina hiyo wanene wanaweza kusababisha kuku wasitage. muone Prof. Mdegela atakupa experience ya wakulima wa Njombe na ushauri.
Tusubr wenye ujuzi watujuzeNami nataka nifuge kwa ajili ya msosi
Nina manual yakeya kuzalisha kwa ajili ya comercial, yaani unazalisha kwa ajili ya kuuzia viwanda vya kutengeneza chakula cha mifugo hasa kuku, Nguruwe na Samaki
Hardcopy naiwekaje humu?Sio vibaya ukaiweka hapa mkuu. Potelea mbali.
yes kaka niliwaosha tuu vizuri na kuchanganya kwenye chakula kidogo then nikawapa walifurahia sana, leo nilienda pia japo sikupata wengi kama mara ya kwanza.Ko wawapa bila kuwa kausha mkuu
USHAURI
Kaombe ushauri Idara ya veterinary pale SUA, Morogoro funza aina hiyo wanene wanaweza kusababisha kuku wasitage. muone Prof. Mdegela atakupa experience ya wakulima wa Njombe na ushauri.
Nahitaji hiyo fumula ya kutengeza niko mbaliKwa anayetaka funza kwa ajili ya mifugo tuwasiliane.
Natengeneza funza kwa ajili ya kuku, bata, mbwa n.k Kwa wale wanaohitaji tuwasiliane. Walioko mbali nitawaelekeza waandae huko huko waliko nitawatumia vichanganyio na fomula ya namna ya kutengeneza.
asante ila jajua maj wamwaga meng yawe topetope au!,?Tafuta dumu ulika tejuu au mtungi, ndaniyake weka maviyakuku yakutosha, juuya maviyakuku wekapumbaza mahindi za kutosha.Mwagiamajikwa sikumbili mbaka tatu. Pumzika siku ya nne kuangalie sikuyatano. Wawezakuta funzawa kutosha.
Mkuu wapatikana wapi naomba copy. Au nisaidie neno funza kwa kizungu nisearch kwa googleHardcopy naiwekaje humu?
Si kila kuku ni kwa ajili ya kutaga, wengine ni wa nyama, hivyo inategemeana na kuku ulionao.USHAURI
Kaombe ushauri Idara ya veterinary pale SUA, Morogoro funza aina hiyo wanene wanaweza kusababisha kuku wasitage. muone Prof. Mdegela atakupa experience ya wakulima wa Njombe na ushauri.