Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
WanaJF!

Ni wazi kuwa wananchi na hasa wapenzi wa CHADEMA wangependa kujua ni nani kati ya viongozi waliopo mwenye nafasi kubwa ya kuongoza chama hicho kwenye nafasi ya uenyekiti katika ngazi ya taifa.

Ni ukweli kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama kikubwa cha siasa nchini, hivyo kwa hadhi hiyo uchaguzi wake ni lazima uwe na hamasa kulinganisha na chaguzi za vyama vingine, hivyo ni haki kwa wananchi kuwa na shahuku na uchaguzi wa CHADEMA.

Katika penya penya zangu na uchunguzi mkubwa nilioufanya kwenye chama hicho, nimegundua kuwa ndani ya CHADEMA kwa sasa ni bwana Godbless Lema ndiye mwenye nguvu na nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.

Itakumbukwa kuwa Godbless Lema ni mbunge wa Arusha mjini, na pia mzaliwa wa Kilimanjaro na ina semekana ana ujamaa na bwana Mbowe, hivyo kwa maelezo haya ni wazi kuwa ametimiza vigezo vikuu vya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa.

Aidha, ndugu Lema kwa sasa anapigiwa 'promo' na mwenyekiti wa sasa, bwana Mbowe, kwa kuhakikisha ana ambatana nae kwenye mikutano mikubwa kwa midogo ya CHADEMA, na pia bwana Mbowe bila kificho uwa ana msifu Lema kuwa ndiye 'jembe' la CHADEMA.

Lakini vilevile ningependa ieleweke kwamba, katika mchakato wa kumpata mwenyekiti au kiongozi mwingine yeyote ndani ya CHADEMA kwenye ngazi ya taifa, vigezo vifuatavyo sio vya muhimu sana;

i) ELIMU, angalau mwombaji awe na elimu ya kidato cha nne, nadhani hii bwana Lema atamudu.

ii) UZOEFU, ni CHADEMA pekee ambayo utoa nafasi kwa mtu kuwa kiongozi pasipo kukitumikia chama kwa kipindi cha angalau miaka mitatu.

iii) MAADILI, hili halizingatiwi kabisa, na imeonekana likiwekwa kama kigezo cha kupata kiongozi ndani ya CHADEMA ni wengi watakosa nafasi.

Hivyo basi, ni wazi kuwa kama sifa tajwa hapo juu zimepuuzwa na CHADEMA katika mchakato wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho, ni ukweli usio pingika kuwa Godbless Lema ana andaliwa kuirithi mikoba ya Mbowe.
 
Endelea kuishi kwa fununu mpaka utaja stuka mmekuwa chama cha upinzani tena kisicho na wabunge kabisa!

Vipi madiwani 8 mliowatimua imekuwaje bosi wenu Nape awarejeshe kazini?

Vipi chama chako kimeshindwa kuwafukuza mafisadi na sasa kimebariki biashara ya madawa yakulevya kwa wanachama wenu kisa hamna pesa ya kuhonga wapiga kura 2015?

Hahaha chama hakina mkubwa, wote mna mindevu kama kambare wa Mto Luaha
 
Endelea kuishi kwa fununu mpaka utaja stuka mmekuwa chama cha upinzani tena kisicho na wabunge kabisa!

Vipi madiwani 8 mliowatimua imekuwaje bosi wenu Nape awarejeshe kazini?

Hahaha chama hakina mkubwa, wote mna mndevu kama kambare wa Mto Luaha

Vipi kijana wa hayati mwl Nyerere upo?

Nadhani kwa jinsi CHADEMA wanavyo recruit viongozi wao hata wewe unaonyesha una sifa za kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA.

Kuna hii ishu ya kusimamia uongo mpaka uonekane ukweli; nadhani kwa jinsi ulipotosha watu humu kuwa wewe ni kijana wa hayati mwl Nyerere na baadhi wakaamini, basi wewe ni tunu ndani ya CHADEMA.
 
Kwa kukiri kuwa CHADEMA kwa sasa ni chama
kikubwa cha siasa nchini basi ungejitahidi kuficha upumbavu wako kwa kutoorodhesha vigezo ambavyo kama ni vya ukweli basi chama kingeshuka hadhi badala ya kuwa chama kikubwa......
 
Mwaka huu utahangaika na Chadema hadi uharo ukutoke. Hii nguvu unayoitumia kuhangaika na Chadema ungeitumia kupambana na ufisadi na madawa ya kulevya, nadhani Tanzania tungekuwa mbali.

Hakuna cha kuangaika na CHADEMA, mimi kama mpenda amani sina budi kufatilia chaguzi za ndani za CHADEMA kwa lengo la kujua ni nani atakae kuwa mwenyekiti, huyu wa sasa zaidi ya kusababisha mauaji na uvunjifu wa amani kwa kiasi kikubwa hapa nchi, hakuna la maana alilofanya. Je, mkimpa Lema itakuwaje?
 
Vipi kijana wa hayati mwl Nyerere upo?

Nadhani kwa jinsi CHADEMA wanavyo recruit viongozi wao hata wewe unaonyesha una sifa za kuwa kiongozi ndani ya CHADEMA.

Kuna hii ishu ya kusimamia uongo mpaka uonekane ukweli; nadhani kwa jinsi ulipotosha watu humu kuwa wewe ni kijana wa hayati mwl Nyerere na baadhi wakaamini, basi wewe ni tunu ndani ya CHADEMA.

Nauliza chama chako kimebariki biashara ya madawa yakulevya?

Maana sasa hivi kuanzia mjumbe wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wenu taifa wote mateja,

Ile orodha mliyoiita ya wauza poda mlikuwa na lengo la kuwahadaa waislamu? Mnaacha kuwataja akina ze prinsi makuvugila kisha mnaleta majina ya waliofaulu kuingia kidato cha sita kisha mnasema ndio wauza madawa ya kulevya?


Hahaa kesha sana hapa kutetea tumbo lako!
 
Nauliza chama chako kimebariki biashara ya madawa yakulevya?

Maana sasa hivi kuanzia mjumbe wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wetu wote mateja,

Ile orodha mliyoiita ya wauza poda mlikuwa na lengo la kuwahadaa waislamu? Mnaacha kuwataja akina ze prinsi makuvugila kisha mnaleta majina ya waliofaulu kuingia kidato cha sita kisha mnasema ndio wauza madawa ya kulevya?


Hahaa kesha sana hapa kutetea tumbo lako!

Mkuu,

Kama ambavyo nimesema, wewe ni muongo muongo mno!

Katika mfumo wa elimu wa hapa nchini, hakuna mtindo wa kufaulu kidato cha sita, ni vyema ukawa makini ukiwa JF kuliko hata unapokuwa unafanya kazi zako za ufundi mchundo, maana humu JF ina hitajika akili nyingi, ila kazi zako zinahitaji zaidi nguvu.

Kuhusu majina, nadhani gazeti la jamhuri limejijengea sifa kubwa hapa nchini kwa kutoa habari za uhakika na zilizo fanyiwa utafiti wa kina, sio kama kijarida cha CHADEMA (Tanzania Daima), hivyo ile orodha ya watu 250 ipo sawa tu.
 
thread ya kipuuz, kila kukicha unaota CHADEMA tu...

mkuu mbona mlitaka kumpoteza Ponda?....
risasi mumpige nyie na mastaka mufungulie nyie.
 
Siku zote huwa nadhani utani nikisoma post za HAMY-D ila leo nimeamini, kama unaweza kupost vitu ulivyoota ukaleta mtandaoni, utakuwa hujaamka. Nimesoma hapa nikaelewa zaidi kazi yako ni nini? Wenye akili watakuwa wameshajua sitaki kusumbua akili zao, bahati nzuri na wewe unafahamu kazi unayofanya, na aina ya fikra ulizonazo.[/SIZE]
 
Kwa kukiri kuwa CHADEMA kwa
sasa ni chama
kikubwa cha siasa nchini basi ungejitahidi kuficha upumbavu wako kwa
kutoorodhesha vigezo ambavyo kama ni vya ukweli basi chama kingeshuka
hadhi badala ya kuwa chama kikubwa......

mwache aendelee kutumika kama k then watamdamp ndio fahamu zake sitakaa sawa!
 
We HAMY-D una taabu sana, Vipi kwenye genge lenu ccm nani atamrithí Kikwete uenyekiti...!?
 
Last edited by a moderator:
Nauliza chama chako
kimebariki biashara ya madawa yakulevya?

Maana sasa hivi kuanzia mjumbe wa nyumba kumi mpaka mwenyekiti wenu
taifa wote mateja,

Ile orodha mliyoiita ya wauza poda mlikuwa na lengo la kuwahadaa
waislamu? Mnaacha kuwataja akina ze prinsi makuvugila kisha mnaleta
majina ya waliofaulu kuingia kidato cha sita kisha mnasema ndio wauza
madawa ya kulevya?


Hahaa kesha sana hapa kutetea tumbo lako!

mkuu kumbe ile list ya two fifty ni madenti wa skuli?
 
Anza kuona aibu kupost thread utumbo humu JF kila uchao. Umelala jana na ulichoota ndotoni ndicho umeleta hapa asubuhi yote hii. Kila uingiapo humu unatetemeka na huachi kuandika CHADEMA.

CCM hii unayoitetea, iliyochoka inajifia soon!
 
sasa ataishije mkuu, hii ni ajira yake ila hufanya watu wasio na ufahamu!

uyu jamaa ameshakuwa kituko humu, ata akija na jambo la msingi watu wata lipuuza, kwani wamesha mzoea kwa ngonjera zake.
 
Mkuu,

Kama ambavyo nimesema, wewe ni muongo muongo mno!

Katika mfumo wa elimu wa hapa nchini, hakuna mtindo wa kufaulu kidato cha sita, ni vyema ukawa makini ukiwa JF kuliko hata unapokuwa unafanya kazi zako za ufundi mchundo, maana humu JF ina hitajika akili nyingi, ila kazi zako zinahitaji zaidi nguvu.

Kuhusu majina, nadhani gazeti la jamhuri limejijengea sifa kubwa hapa nchini kwa kutoa habari za uhakika na zilizo fanyiwa utafiti wa kina, sio kama kijarida cha CHADEMA (Tanzania Daima), hivyo ile orodha ya watu 250 ipo sawa tu.

Hivi kati ya mimi na wewe nani ni muongo?

Mimi nasema majina yale ni ya FAULU kujiunga kidato cha sita,

Wewe unakuja na ngano kuwa kwamfumo wenu nyinyi ccm kidato tano hawafaulu kwenda kidato cha sita,

Mbaya zaidi unaleta UONGO mwingine usio na mashiko, Chadema inachombo cha habari?

Hebu nitajie chombo cha habari cha chadema iwe radio, gazeti, tv, nk na uniamie usajili wa umiliki huo ulikuwa lini na leta Namba za malipo ya kodi (TIN Nos)

Ukizoea uongo huoni tabu kusema lolote,

Tatizo huna kazi mjini hapa unategemea ccm ili uishi ndiomana akili ishaganda kiccm ccm tu
 
Endelea kuishi kwa fununu mpaka utaja stuka mmekuwa chama cha upinzani tena kisicho na wabunge kabisa!

Vipi madiwani 8 mliowatimua imekuwaje bosi wenu Nape awarejeshe kazini?

Vipi chama chako kimeshindwa kuwafukuza mafisadi na sasa kimebariki biashara ya madawa yakulevya kwa wanachama wenu kisa hamna pesa ya kuhonga wapiga kura 2015?

Hahaha chama hakina mkubwa, wote mna mindevu kama kambare wa Mto Luaha

Wewe niwa kupuuzwa tu.

Hakuna laana iliyo zaidi ya laana ya kujifanya wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere na kumkana baba yako mzazi.

Kwa lugha nyingine, ulikuwa unamlaumu mama yako kwa nini hakukutana na Mwl. Nyerere kimapenzi ili uwe mtoto kweli wa Mwl. Nyerere kitu ambacho kimekufanya mpaka sasa kuwa engross na nyendo za Mwl. Nyerere.

Watu kama wewe aibu kwao ni neno geni. Kujifanya wanajua kila kitu ndiyo silka yenu.
 
mkuu y. nyerere kumbe ile list ya two fifty ni madenti wa skuli?

Katika ile orodha hakuna muuza madawa yakulevya hata mmoja,

Hata Masogange ambae taifa linajua wazi amekamatwa na KILO 150 sawa na mifuko mitatu ya simenti HAYUPO kwenye hiyo LIST, sasa jiulize kuna serikali au genge la wauza madawa ya kulevya tu?
 
Wewe niwa kupuuzwa tu.

Hakuna laana iliyo zaidi ya laana ya kujifanya wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere na kumkana baba yako mzazi.

Kwa lugha nyingine, ulikuwa unamlaumu mama yako kwa nini hakukutana na Mwl. Nyerere kimapenzi ili uwe mtoto kweli wa Mwl. Nyerere kitu ambacho kimekufanya mpaka sasa kuwa engross na nyendo za Mwl. Nyerere.

Shabiki wangu umeshafika na mashairi yako?

Karibu waite nawenzio, ninawapenda sana nyie mafansi wangu,

Vile lile bandiko lenu mnalotembea nalo kila kona sasahivi limechuja? Naona leo hujaanza nalo,

Karibu mpambe wangu a.k.a kipemba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom