Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 1
Wana JF
Kutokana na mpasuko uliopo katika chama cha mapinduzi ,umesababisha mpasuko mwingine ndani ya jumuia zake
Katika fununu inasemekana kuwa kambi mbili yaani ya lowasa na Membe zimekuwa zikishiriki katika hali na mali ili kuangusha kambi nyingine
kutokana na mchakato mgumu uliopo umoja wa vijana ambapo wapo kwenye mchakato wa Chaguzi zao kitaifa ikiwa nafasi ya makamo mwenyekiti uvccm Taifa ambapo ndo kwenye UTAMU
kumekuwa na mgawanyiko, kwamba Bwana antony mavunde na Bwana sango kasera ni kambi ya lowasa na mh.Nchimbi na Bwana Salum Happy kambi ya Membe
Fununu ni kwamba kutoka na hali tete upande wa Membe kwa kuelemewa na nguvu ya lowasa
Bwana Ridhwan kijana wa Rais JK amegawa mamilion kwa wajumbe wa baraza ili kushawishi waweke upendeleo kiti hicho kiwe zamu ya kina dada yaani wanawake
Na inasekmekana ya kuwa bwana ridhwani amemuandaa MBONI MWITA awe mgombea na ashinde kwa ushawishi wa mamilioni hayo na Lengo kuu ni kuvuruga nguvu ya lowasa ambayo imewaelemea!
Naomba mwenye kufaham zaidi atupe mrejesho..!
Kutokana na mpasuko uliopo katika chama cha mapinduzi ,umesababisha mpasuko mwingine ndani ya jumuia zake
Katika fununu inasemekana kuwa kambi mbili yaani ya lowasa na Membe zimekuwa zikishiriki katika hali na mali ili kuangusha kambi nyingine
kutokana na mchakato mgumu uliopo umoja wa vijana ambapo wapo kwenye mchakato wa Chaguzi zao kitaifa ikiwa nafasi ya makamo mwenyekiti uvccm Taifa ambapo ndo kwenye UTAMU
kumekuwa na mgawanyiko, kwamba Bwana antony mavunde na Bwana sango kasera ni kambi ya lowasa na mh.Nchimbi na Bwana Salum Happy kambi ya Membe
Fununu ni kwamba kutoka na hali tete upande wa Membe kwa kuelemewa na nguvu ya lowasa
Bwana Ridhwan kijana wa Rais JK amegawa mamilion kwa wajumbe wa baraza ili kushawishi waweke upendeleo kiti hicho kiwe zamu ya kina dada yaani wanawake
Na inasekmekana ya kuwa bwana ridhwani amemuandaa MBONI MWITA awe mgombea na ashinde kwa ushawishi wa mamilioni hayo na Lengo kuu ni kuvuruga nguvu ya lowasa ambayo imewaelemea!
Naomba mwenye kufaham zaidi atupe mrejesho..!