Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
A'aleykum/Bwana Yesu asifiwe sana wana JF
Wana JF, naomba ushauri wa kidaktari. Dada yangu wa kazi anaumwa fungus wa ajabu. Miguu yote ni vidonda, cha kushangaza fungus wamekula miguu mpaka kwenye unyao. Tumeshatumia kila dawa ya hospitali bila mafanikio. Anayejua dawa jamani anisidie.
Niashukuru kwa ushauri.
CD
Wana JF, naomba ushauri wa kidaktari. Dada yangu wa kazi anaumwa fungus wa ajabu. Miguu yote ni vidonda, cha kushangaza fungus wamekula miguu mpaka kwenye unyao. Tumeshatumia kila dawa ya hospitali bila mafanikio. Anayejua dawa jamani anisidie.
Niashukuru kwa ushauri.
CD