Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Tufanye nini ili hiyo dhana ya ubaya kwa mwanamke kufunguka iwatoke watu?
Itabidi hawa wanaopigania haki sawa wawaeleze na hii haki pia
Tufanye nini ili hiyo dhana ya ubaya kwa mwanamke kufunguka iwatoke watu?
Six Pack Abs......
Dreadlocks......
mi mzima....wewe je?
siku ntingi sijakuona pande zile..
Dahhhh mi ndo nimerudi.
Nlikuwa lupango kwa muda kidogo.
We bado unaendaga pande zile?
Acha kurukia salam si zako.Kama ni salam si bora u PM kuliko kuweka salam ambazo hazituhusu sisi tunataka comments tu
lupango kwa kosa gani?
nipo pande zile wewe tu sikuoni..
Six Pack Abs......
Dreadlocks......
Six Pack Abs......
Dreadlocks......
hahahaaaa duuu hi kali...Urongo...
Nilikomaa nikajenga hizo six packs, lakini siku hizi sisalimiwi na wadada kam wakati ule nina kitambi. Wananiona kapuku tu...
hahaha Preta..Kingine?
Kwa muda mrefu sana, wapendwa wetu akina dada wamekuwa wakibanwa na utamaduni wa asili kwa kusubiri kuimbishwa na wakaka. Najaribu kufikiria kuwa, hata kama wao wamempenda mkaka ni ngumu kutamka wazi wazi, na wakijitahidi sana, huishia kuonyesha mapenzi kwa vitendo au kwa kumtega mtu.
Mara nyingi wao wakifunguka huwa inaleta tafsiri isiyo nzuri sana ndani ya jamii wakati kiukweli ilipaswa na wao pia wapate nafasi nzuri ya kumtamkia yule wanayempenda maana ni haki yao kimsingi.
Kwa tamaduni za wenzetu wahindi (sina uhakika kama ni wote), wanawake ndiyo huenda kumpropose mwanaume na hii imekubalika kabisa.
Naomba tuchangie jamani, kuna tatizo gani watanzania wakikubaliana na huu utaratibu wa kugawa fursa sawa kwa wote ikiwemo kuwakubalia na kutokuwatafsiri vibaya wadada wanaofunguka mbele ya wakaka?
Nawasilisha.
HP
Acha kurukia salam si zako.
Actions speaks louder!