Fungukeni Wanawake wa Tanzania ....!

nadhan wanaume ndo waelimishwe kwanza kuachana na hiyo dhana ya kuona mwanamke akisema ana tabia mbaya,hawakawii kukuita kicheche kisa umemwambia unampenda.
 
Six Pack Abs......
Dreadlocks......


Urongo...

Nilikomaa nikajenga hizo six packs, lakini siku hizi sisalimiwi na wadada kam wakati ule nina kitambi. Wananiona kapuku tu...
 
Kwa muda mrefu sana, wapendwa wetu akina dada wamekuwa wakibanwa na utamaduni wa asili kwa kusubiri kuimbishwa na wakaka. Najaribu kufikiria kuwa, hata kama wao wamempenda mkaka ni ngumu kutamka wazi wazi, na wakijitahidi sana, huishia kuonyesha mapenzi kwa vitendo au kwa kumtega mtu.

Mara nyingi wao wakifunguka huwa inaleta tafsiri isiyo nzuri sana ndani ya jamii wakati kiukweli ilipaswa na wao pia wapate nafasi nzuri ya kumtamkia yule wanayempenda maana ni haki yao kimsingi.

Kwa tamaduni za wenzetu wahindi (sina uhakika kama ni wote), wanawake ndiyo huenda kumpropose mwanaume na hii imekubalika kabisa.

Naomba tuchangie jamani, kuna tatizo gani watanzania wakikubaliana na huu utaratibu wa kugawa fursa sawa kwa wote ikiwemo kuwakubalia na kutokuwatafsiri vibaya wadada wanaofunguka mbele ya wakaka?

Nawasilisha.

HP

Jamani mwenzenu nimechoka, imefikia hatua nataka sasa wadada nao wafunguke, kila siku mimi tu kuwaimbisha!
 
Mimi ukinivutia tu nakuambia.......
hahahaaa alafu wanaume mlivyokua wa ajabu mkiambia ati mnashtuka na kuogopa!!!
 
Actions speaks louder!

You got it konnie! If u cant see the actions, even the words wont ring a bell!
Ukishajua unapendwa jiongeze..Kufunguka kunataka moyo, especially kwetu, imagine unamfuata a guy halafu anakukataa..mh it hurts!
 
Back
Top Bottom