Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Jimbo gani ndugu au upo Goma Vitani?
majanga ndugu yangu.
Nipo hapahapa tz
Jimbo gani ndugu au upo Goma Vitani?
We ni wa Mulugo eeh? Naona ka, una utahaira ivi. Jipe jipe nafasi ya kujistukia. Kilaza we..mbunge wako alijinadi ye Dawasco?Mie mbunge wangu John Mnyika, kila siku yeye kulalamika tu na kusambaza simu za viongozi kwa wananchi ili wawatukane. Ameshindwa kusambaza maji anasambaza matusi
Mwigulu chembaanaitwa nani.....?
Mimi ninachangamto na wabunge wanaoniwakilisha kwenye majimbo ambayo ninamaslai nayo kama ifuatavyo:,
Mimi nafanyakazi mkoa wa Mwanza ninaishi Pasiansi ambapo nina nyumba huku Mbunge wangu ni Highness Kiwia, huyu jamaa pamoja ni rafiki yangu ,hayupo makini sana kwenye shughuli zake za ubunge.
Huko Mwanza ofisini kwangu ninapofanyia kazi ni mjini kati ambapo ni jimbo la nyamagana hata kura nilipiga nyamagana kwa sababu ndipo nilipojiandikisha, Mbunge wangu hapa ni Ezekiel Wenje, huyu nae simkubali sana ila anajitahidi kidogo.
Mimi ni mchaga wa Rombo,napapenda sana kijijini kwangu na ninajitahidi kwenda huko marakwa mara na nia nyumba yangu nzuri na ndio chumbuko langu, huko ninaye mbunge anaitwa Joseph Selasini, huyu anajitahidi sana kupigania wananchi wa jimbo lake mara nyingi namsikia wakija tembo kutka Kenya, na hata Bungeni huwaga anachangia mara nyingi tena anaongea point, kusema kweli nawapongeza waliomchagua huyu jamaa
Mimi pia ninamakazi ya kudumu Dodoma Mjini maeneo ya are e ipagala . hapa mjini dodoma Mbunge wangu ni David Malole, huyu jamaa waliomchagua wanajuta yupoyupo kama hayupo.this guy is doing nothing at all i am very sad and very disappointed by the people who choose this guy.mimi ni msikilizaji mzuri wa vipindi vya Bunge kusema kweli Sijawahi kumsikia hata siku moja akichangia bungeni, any way labda anachangiaga kwa maandishi.
Mimi pia nina makazi ya kudumu Dar es Salaam Kimara Butcher ambapo mbunge wangu huko ni John Mnyika nawapongeza wote waliompigia kura huyu jamaa, anatuwakilisha watanzania wote Bungeni na ni ndiye Mbunge ninayemfagilia sana kuliko wabunge wote ambao wanagusa maisha yangu kwa namna moja au nyingine wanaposhughulika vizuri kwenye majimbo yao.
Mwigulu chemba
mi mbunge wangu ni Godbless Lema.......sina haja hata ya kumzungumzia........nadhani umeshamsikia..........
Mie mbunge wangu John Mnyika, kila siku yeye kulalamika tu na kusambaza simu za viongozi kwa wananchi ili wawatukane. Ameshindwa kusambaza maji anasambaza matusi