My first love wa a jerk... Nili sacrifice a lot of things, a quality and quantity of my life time kwake..
Alinipanda, alinikanyaga, alininyanyasa kijinsia in short alinishika masikio na nilikua sifurukuti..
I was in love than i had never been before nafikiri ilichangiwa na the fact kua he was my first love
and first man to show me love and its wonderful intimacy side of it... BUT he was a Jerk!
Pamoja na yoote niliyoyapitia i have never regretted for imenifanya niwe appreciative sana
kwa a guy who loves and cares for me (sichukulii for granted).. I don't regret because i have
a wonderful child from him - I don't regret because he made me grow up in a woman who
now understands her self na which line to draw inapohusisha the man i love... (my hubby)
I don't regret because experience kama hizi is good for the soul and mind mradi uwe
na nguvu ya kurise... na napenda the fact kua ana regret and wishes tungekua
pamoja (F** him!).. Mbu hapa am sorry...
Kwa wanaume mara nyingi ikitokea hivyo ni kazi kurudi... kikubwa ni kumpata mdada
mvumilivu na aelewe the situation ya the guy...
Mbu
Umeuliza utajiaminishaje kama yuko mguu moja ndani, mwingine nje?
Hili swali nadhani si rahisi kulijibu kwani linahusisha moyo wa mtu.usiusemee moyo.....lakini nadhani kama mtaanza pamoja kwa kuelezana ukweli, pamoja na expectations zenu, mkatendeana mazuri, mkaongea lugha moja na kisha mkaadd up na ingredient ya Time...eventually utagundua tu kuwa s/he is in mwili na roho nzimaa na si miguu yote tu.
...nimeipenda sana hii positive mental attitude yako, big up Asha D.
Ahaaa ahaaa mkuu una inhale na ku-exhale loveha ha ha,....pheeeeewwwww! nimesoma comments zenu nyoooote,....mnh!
Balaaa.,....!
The Finest. Unajua kwanini nimeileta hapa? Maneno Mkuki, aliyokuwa analalamika
huyu besti, ndio ulikuwa msimamo wangu.... moyo wangu ulikuwa umekufa ganzi
kabisa bana,...cha ajabu,...few weeks ago ametokea soulmate kayeyusha kila kitu...
Sasa hata sijielewi elewi kaja na anti-numb injection? ...akili yangu yote ni kwake/kapangisha kichwani mwangu bila kodi!
Mbaya zaidi, kila nikijaribu kupiga mabreki ninavyompenda...naona hazishiki...
Lyrics za 'Lets Wait A while!' hapo chini...ndio dua yangu..
Gaga, Mbu is In-Love, breathing it, inhaling and exhaling love :mwaaah: 'in and out...'
Loooo bora wangu maana yule kichwa ngumu alikuwa anakusumbua bora umepata pumziko la moyo Mbu, ila kabla hujaingia sana deep, make sure usije fanya mistake kama za nyuma, msome, umjue vizuri, pima upendo wake kwako , angalia kama amefata upendo wa kweli kwako? au kuna kitu kingine kafata? Otherwise all the best mydiaha ha ha,....pheeeeewwwww! nimesoma comments zenu nyoooote,....mnh!
Balaaa.,....!
The Finest. Unajua kwanini nimeileta hapa? Maneno Mkuki, aliyokuwa analalamika
huyu besti, ndio ulikuwa msimamo wangu.... moyo wangu ulikuwa umekufa ganzi
kabisa bana,...cha ajabu,...few weeks ago ametokea soulmate kayeyusha kila kitu...
Sasa hata sijielewi elewi kaja na anti-numb injection? ...akili yangu yote ni kwake/kapangisha kichwani mwangu bila kodi!
Mbaya zaidi, kila nikijaribu kupiga mabreki ninavyompenda...naona hazishiki...
Lyrics za 'Lets Wait A while!' hapo chini...ndio dua yangu..
Gaga, Mbu is In-Love, breathing it, inhaling and exhaling love :mwaaah: 'in and out...'
ha ha ha,....pheeeeewwwww! nimesoma comments zenu nyoooote,....mnh!
Balaaa.,....!
The Finest. Unajua kwanini nimeileta hapa? Maneno Mkuki, aliyokuwa analalamika
huyu besti, ndio ulikuwa msimamo wangu.... moyo wangu ulikuwa umekufa ganzi
kabisa bana,...cha ajabu,...few weeks ago ametokea soulmate kayeyusha kila kitu...
Sasa hata sijielewi elewi kaja na anti-numb injection? ...akili yangu yote ni kwake/kapangisha kichwani mwangu bila kodi!
Mbaya zaidi, kila nikijaribu kupiga mabreki ninavyompenda...naona hazishiki...
Lyrics za 'Lets Wait A while!' hapo chini...ndio dua yangu..
Gaga, Mbu is In-Love, breathing it, inhaling and exhaling love :mwaaah: 'in and out...'
MwanajamiiOne, chukulia mfano wangu...
at the moment am so in love sina haja ya kuambiwa ukweli au urongo.,..nataka nipende tu thats all!!!
Chimala na BelindaJacob naomba ni Quote posting zenu, kwani zimenigusa pale nilipoikuwa napataka.
Swali ambalo ningewauliza, au wachangiaji wengine nao wanaweza kuchangia ni;
- Je, Ungependa mpenzi wako mpya afanye nini ili aweze kuziba pengo lililojitokeza?
- Je, utakuwa tayari kumwambia the truth, nothing but the truth yote yaliyokukwaza kwenye relationship yako iliyopita ili mwenzio ajue wapi penye kovu, na wapi penye kidonda?
- Je, Wewe mwenyewe (binafsi,) unachukua jitihada gani kuhakikisha unakubaliana na maisha na mapenzi mapya?
MBU nilimsimlia historia yangu yote, alisikitika sana na kuniambia kwamba yeye sio aina ya wanaume niliozoea kukutana nao, ananijali kwa kweli tena saana lakini ndo siamini kama anafanya kutoka moyoni ama anapretent tu kama walivyokuwa wanafanya niliowahi kuwa nao. Hivyo nakuwa na tahadhari kubwa kujimwaga kwake mazima.
Kwa yale machache ninayoyafanya ili kumridhisha yeye anaona nampenda mpaka basi, eti hajawahi kukutana na mwanamke anayempenda kama mimi ila ailozea kuchunwa tu.
Binafsi najitahidi sana kulikubali penzi lake na kumuingiza moyoni ili nimpe malovee ya ukweli bila kujibanana lakini nasita kila nikikumbuka nilivyowahi ambiwa na jamaa mmoja kuwa sikuwahi kukupenda na alikuwa anaonesha kunipenda
Mydia.......with time you will be healed.....ili mradi tu ukubali.
Ila huyo alokwambia eti hakuwahi kukupenda naye...................kuna watu wanajua kuhurt wenzao!!
wengine tulishawahiulizwa kwa dharau na jeuri kubwa " ...kwa uzuri gani ulonao? nimeona wanawake kibao wazuri wa maana itakuwa wewe........" Unatamani kujibu au angalau kuuliza "kwa nini hukuwaoa hao?" basi tu unaamua kuepusha shari na kubakia tu unawaza ya kuwazwa.....................but tunashukuru kwani kupitia mambo kama hayo ndo tunakuzwa na kukomazwa kimapenzi ili tukijakutana na wenye kututhamini nasi tuwathaminii.
Mpendwa chauro we acha tu hii dunia iacheni tu. Pole kwa kukukumbusha but ah......ni kweli kabisa bora uchapwe kibao kuliko haya maana maumivu ya kibao yanapoa na kusahaulika but maneno kama haya hudumu. Mie haya yana miaka karibu mitatu moyoni, akilini mwangu lakini ninavyoyakumbuka ni kama ya nusu saa ilopita. ... Yaani hadi wapi aliweka coma, semi-colon na msonyo! lakini tunashukuru kwa yote maana tumekomazwaHakyanani, we mtoto umeamkia wapi asubuhi hii,usinikumbushe na ivi vijimaneno kuna mengine ni bora mtu akuchape kama mtoto huwa hayatoki moyoni kabisa.
Mpendwa chauro we acha tu hii dunia iacheni tu. Pole kwa kukukumbusha but ah......ni kweli kabisa bora uchapwe kibao kuliko haya maana maumivu ya kibao yanapoa na kusahaulika but maneno kama haya hudumu. Mie haya yana miaka karibu mitatu moyoni, akilini mwangu lakini ninavyoyakumbuka ni kama ya nusu saa ilopita. ... Yaani hadi wapi aliweka coma, semi-colon na msonyo! lakini tunashukuru kwa yote maana tumekomazwa
Kuna wakati watu wanatulaumu bure lakini ni ngumu sana kurudi ulivokuwa kwa maneno kama hayo na wakati mwingine mtu hasemi mara moja anarudia kusema,hapo ndo unapopata akili kumbe hakusemea hata hasira alimaanisha aliyosema.
Baada ya siku mbili anategemea ufanane na chauro wa zamani inawezekana kweli.INAUMA SANA mtu anakupigisha kwata hatua elfu moja nyuma usipokuwa makini unapoteza na uhalisia wako kabisa.
Sijui mapenzi yameumbwaje AD unaweza kuwa na kila kitu, unaweza jipa raha sana tu, unaweza kuwa na marafiki wengi wakakupa company..........but still you'll see something is missing somehow
Haswaaa...likisemwa mara moja hata akisingizia pombe wakati wajua hanywi utakubali kwani utasema ni hacra sasa ndo linarudiwa tena siku nyingine bila hata kosa/au kosa la mtoto! ................. sijui wanategemea sie tuna mioyo ya chuma?? but ole wako we likutoke la ...mwanaume gani wewe!........mbona utakoma.
Chauro mama......hebu tusiseme mengi tukawatisha watoto bure. Tumpongeze Mbu kwa kufungua moyo.
Mtutishe mara ngapi?!Hapa nilipo nakataa SITAKI SITAKI SITAKI.
ehe.we naye nani kakuita huku jikoni bana?........hapa tulikuwa tunapiga paukwa pakawa wala haiko hivyo loh.
Duh Mbu.........this thread is one in a million kwa kweli.
All that I can say ni kuwa mchangia mada wa kwanza ameyasema yote ninachoongezea tu hapo ni TIME................ unapoanza na mtu ambaye ameumizwa kuna umuhimu wa kumpa assurance kama alivyosema Mbwiga plus and then it should be backed up with time........kuzoea na kuanza kutrust tena huchukua muda kiasi so time heals.
All teh best.
NB: Kabla hujainvest hayo yote, you need to sit down na kuongea ili mkubaliane kwa pamoja kuwa hata yeye yuko tayari kuparticipate katika hiyo healing process.
Duh Mbu.........this thread is one in a million kwa kweli.
All that I can say ni kuwa mchangia mada wa kwanza ameyasema yote ninachoongezea tu hapo ni TIME................ unapoanza na mtu ambaye ameumizwa kuna umuhimu wa kumpa assurance kama alivyosema Mbwiga plus and then it should be backed up with time........kuzoea na kuanza kutrust tena huchukua muda kiasi so time heals.
All teh best.
NB: Kabla hujainvest hayo yote, you need to sit down na kuongea ili mkubaliane kwa pamoja kuwa hata yeye yuko tayari kuparticipate katika hiyo healing process.