Wanajua sana sie sio vipofu... tatizo wanajua dhaifu letu kubwa....
We stake our hearts not our mind.. very very dangerous...
Sometimes i envy wanaume na roho zao za tamaa,
uki release hamu imeisha wakati sisi uki release ndo umeharibu kabisaa!!
Ila mpenzi chizi kichochoroni...lol.. si bora nitoke nipate one nite stand...
Wanajua sana sie sio vipofu... tatizo wanajua dhaifu letu kubwa....
We stake our hearts not our mind.. very very dangerous...
Sometimes i envy wanaume na roho zao za tamaa,
uki release hamu imeisha wakati sisi uki release ndo umeharibu kabisaa!!
Ila mpenzi chizi kichochoroni...lol.. si bora nitoke nipate one nite stand...
Ubarikiwe Sana na Baraka za Bwana zikae juu yako.
Hahahaha incase hata one night stand siwezi pata, kitu ambacho sio rahisi walahi ni bora nimpe chizi hakyanani
Huyu atakuja kupenda mpaka asahau kama alikuwa ameufunga moyo ,iko siku atakutana na mtu na kudhani amekutana na malaika
Niliwahi kusema naapa sitapenda tena..
Baada ya yule niliyempenda kwenda nchi za mbali na kuoa huko huko bila kuniambia ..kisha kunifanyia suprise ya picha za harusi
Sitaki hata kukumbuka
Hahahaha incase hata one night stand siwezi pata, kitu ambacho sio rahisi walahi ni bora nimpe chizi hakyanani
Maty what about ile ya self fulfillment?
Polee!!
Maty what about ile ya self fulfillment?
Uliyosema ni kweli kabisa! Na lazima tujue " 'falling down does not mean burial.'".sio mtaalam wa saikolojia lakini hii inshu inategemea position ya mhusika katika mahusiano yaliyovunjika. kama mhusika amekerwa so much na ameamua kuacha, anakuwa na walau nguvu ndani yake ya kuweza kumsukuma kusimamia kile alichokiamini kuwa ni sahihi au kile anachotaka kukitetea. Kwa hili his mind inaweza kucontrol his will (heart). lakini hali itakuwa kinyume kama yeye ndo aliyeachwa. manake kwanza kuna shock ya kuachwa. kichwa kinatafakari sababu ya kuachwa huku moyo ukiuma kwa kuachwa. hapo control ya mind inaweza kuwa ngumu sana na huenda ikategemea strength ya mtu na mtu na pia genders. wanaume tunaweza pata kinguvu ndani yetu cha kutuwezesha to keep going. unaweza hamia kwenye kinywaji for a while na of course womanisation ya hasira, kama vile unatoa adhabu kwa hawa watu wasio na shukrani. lkn with time (very essential) akili (the mind) inarudi na unaanza kuwa na control ya will (the heart) na hapo unaanza kujipanga upya. kwa wenzetu wa-beijing depression ya kuachwa inaweza pelekea kuzidi kujizamisha chini, kujiona kama kawa kinyaa, reject etc. hii inaweza mpelekea kuwa na further depressions na hater wa wanaume. ukutanapo na mtu wa aina hii, u have to be very patient, kama you are really into her. vinginevyo wala hutopoteza muda. my take is to help anyone in such a situation to realise that 'falling down does not mean burial.' (hey am gonna take this as my signature!!). parents and close friends would be very useful in situations like this.
.........Nyie mabinti hebu taratibuni..........mnanichekesha tu humu na mie leo nina mtindio wa mawazo! ctaki.
The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:Zikae kwa muda gani???LOLzz....nazipokea kwa moyo mmoja na kwa mikono miwili!!!
Amini amini....wapendaji wapo wengi!!:dance:
.........Nyie mabinti hebu taratibuni..........mnanichekesha tu humu na mie leo nina mtindio wa mawazo! ctaki.
Ziendelee kukaa mpaka mileleZikae kwa muda gani???LOLzz....nazipokea kwa moyo mmoja na kwa mikono miwili!!!
Amini amini....wapendaji wapo wengi!!:dance:
Asha umenikumbusha mbali sana mpenzi, umemaliza kila kitu nimeishiwa maneno kabisa. Halafu hapo bold umenifurahisha sana kwani wanachekesha sana watu mtu anakuacha kwa mbwembwe zote na madiodo kibao halafu baadae anaanza oooh unajua mimi na wewe wazazi mara wapenzi mara ushuzi gani hovyooooooooooo hukuyajua wakati unakurupuka, ila umenikooooooooooooooooooooooonga moyo. sana ni vile tu uko mbali na upeo wa macho yangu. Ubarikiwe !
nimefurahi umefurahi Maty.. unajua watu wengi wanapopata mtu anawapenda saana
hasa walo young wanachulia for granted kua mapenzi na kujali kwa Asha D basi woote
wata fanya kwake hivyo hivyo... hilo ndo hunipa nguvu kuliko zoote anabadilisha wanawake
kila siku naona anajaribu tafuta another Asha D in them (am not bragging but nikipenda miguu yoote ndani)
Maty dear na hapo kwenye red hanigusi hata kwa kijiti!
Hapo blue ni kweli kabisa my dear mi namwambiaga bora nikamgawie chizi kichochoroni kama wa kuwapa wengine watakosekana. Ni kujidhalilisha ati lol. Ila sijui wakoje hawa viumbe wanafikiri wanawake wote ni vipofu !
Wanajua sana sie sio vipofu... tatizo wanajua dhaifu letu kubwa....
We stake our hearts not our mind.. very very dangerous...
Sometimes i envy wanaume na roho zao za tamaa,
uki release hamu imeisha wakati sisi uki release ndo umeharibu kabisaa!!
Ila mpenzi chizi kichochoroni...lol.. si bora nitoke nipate one nite stand...
Hahahaha incase hata one night stand siwezi pata, kitu ambacho sio rahisi walahi ni bora nimpe chizi hakyanani
Maty what about ile ya self fulfillment?!
........Nyie mabinti hebu taratibuni..........mnanichekesha tu humu na mie leo nina mtindio wa mawazo! ctaki.!
One nite stand???Maybe!But haisaidii,maybe three nite unaweza kushiba!
Hahahaha Asha dont take it seriously my dia, kwani ya chizi hiyo nilikua nawekea mkazo tu lol. Bahati nzuri wadada tumejaaliwa kuhimili tamaa za mwili pia nikitaka hiyo kitu siwezi kosa wa kumalizia. Ila kwa yule ndio nasemaga bora ya mwehu kuliko yeye
Huyu atakuja kupenda mpaka asahau kama alikuwa ameufunga moyo ,iko siku atakutana na mtu na kudhani amekutana na malaika
Niliwahi kusema naapa sitapenda tena..
Baada ya yule niliyempenda kwenda nchi za mbali na kuoa huko huko bila kuniambia ..kisha kunifanyia suprise ya picha za harusi
Sitaki hata kukumbuka
Eiyer Eiyer my brother please don't judge me ni mjadala umetoka mbali mpaka tukafika one night stand...lol