Ndio.
Hiyo ndio hali halisi, hii ndio bei mpya ya mchicha kutoka viunga vya pale O'bay, adjacent na kota za polisi Oysterbay. Fungu hilo lilikuwa likiuzwa ShT. 500/= katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, hivyo bei mpya ni sawa na ongezeko la 100/=, pamoja na kwamba pale ndio sehemu ya kwanza ya uzalishaji, yaani hakuna gharama za kusafirisha wala faida ya mchuuzi wa rejareja.
Tafakari,
CHUKUA HATUA!