Ndio.
Hiyo ndio hali halisi, hii ndio bei mpya ya mchicha kutoka viunga vya pale O'bay, adjacent na kota za polisi Oysterbay. Fungu hilo lilikuwa likiuzwa ShT. 500/= katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, hivyo bei mpya ni sawa na ongezeko la 100/=, pamoja na kwamba pale ndio sehemu ya kwanza ya uzalishaji, yaani hakuna gharama za kusafirisha wala faida ya mchuuzi wa rejareja.
Tafakari,
CHUKUA HATUA!
Nadhani alimaanisha 100% mkuu.Ongezeko hilo ni 100/= au 100% ?
mchele umefikia 2600/= tusonge mbele!
Hee! Bora tunaoishi vijijini tunalima wenyewe.
Ndio.
Hiyo ndio hali halisi, hii ndio bei mpya ya mchicha kutoka viunga vya pale O'bay, adjacent na kota za polisi Oysterbay. Fungu hilo lilikuwa likiuzwa ShT. 500/= katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita, hivyo bei mpya ni sawa na ongezeko la 100/=, pamoja na kwamba pale ndio sehemu ya kwanza ya uzalishaji, yaani hakuna gharama za kusafirisha wala faida ya mchuuzi wa rejareja.
Tafakari,
CHUKUA HATUA!
sasa wote tukikimbilia kijijini, mjini atabanana nani mpenzi?
Halafu huko kijijini mi sijazoea jembe meen?
mchele umefikia 2600/= tusonge mbele!
Tunakoelekea hali ikiendelea kugangamala hivi utazoea tu bila hata mwenyewe kujua umezoea je?
Sasa jaribu kupika wali na nyama loooooooo! Twafa.
Sasa jaribu kupika wali na nyama loooooooo! Twafa.