Funga mwaka...!

Funga mwaka...!

Kwa ukweli kabisa na upole kwa mwaka 2011 matumizi yangu ni kama ifuatavyo:

1.dagaa sh 60000
2.maharage sh.40000
3.nyama sh 5000
4.sembe sh 45000
5.mchele sh 3000
6.mchicha sh 55000
7.soda sh 0
8.juice sh 0
9.pombe sh.500,000
10.matunda sh.0 kwa sababu sijawahi kuugua
11. Ngono sh.700000
12. Maji sh. 0 kwasababu huku kwetu tunatumia ya mtoni

Nawasilisha.

Bajeti yako nimeipenda..ila hao dagaa lazima umeshakuwa na ngozi ya chuma.
 
1.umetumia sh ngapi ukiwa baa na mademu ? 562,500/=
2.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu, 820,000/=
3.umetumia sh ngapi kununua vocha nimekuwa niki text sana 4,000/=
4.umetumia sh ngapi kutolea mimba kwa wasichana usiotaka kuzaa nao, 0/=
5.umetumia sh ngapi nauli za daladala kumfuata demu au demu akija kwako, hela ya mafuta 1,200,000/=
6.umetumia sh ngapi kuwanunulia vijizawadi mademu pamoja na kuwahonga, 800,000/=
7.Angalia viwalo vyako ni vikuu kuu, kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde! nimejenga
MWAKA UJAO ITABIDI NIOE TARHE 30 NAENDA KUPIMA NGOMA

Elia nilikuwa sina mpango wa kucheka ila imebidi
Hii budget kiboko na ni balaa. Bora tuu uoe na isiwe unaoa na then unaanza mpango wa nyumba ndogo kuzifuata mbali tena yaani kila wiki ni bagamoyo au morogoro maana utakuwa umerudi pale pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom