Fundisho: Wananchi wawapuuza CHADEMA,wanaendelea na sikukuu ya Eid

Swala la tozo za mitanado mmelivalia wapi njuga watanzania? Hili swala limepigiwa kelele sana na haohao chadema unaowaona hawafai ila sikia watanzania hatujui swala la katiba kivipi lina umuhimu kwetu hatujui kua hata hili swala la Tozo za ajabu linatokana na katiba kua butu yani watanzania hua tunaanza kuzungumza tu pale tunapoona kitu kimekuja kwetu direct ila hata kama hautokubali wewe na amini watoto wako watakuja kusema kizazi cha Baba zetu kilikua na watu wajinga kuwahi kutokea na katiba wataibadili tu.
 
Kwahiyo Chadema waliweka kongamano la tozo?
Swala la tozo za mitanado mmelivalia wapi njuga watanzania? Hili swala limepigiwa kelele sana na haohao chadema unaowaona hawafai ila sikia watanzania hatujui swala la katiba kivipi lina umuhimu kwetu hatujui kua hata hili swala la Tozo za ajabu linatokana na katiba kua butu yani watanzania hua tunaanza kuzungumza tu pale tunapoona kitu kimekuja kwetu direct ila hata kama hautokubali wewe na amini watoto wako watakuja kusema kizazi cha Baba zetu kilikua na watu wajinga kuwahi kutokea na katiba wataibadili tu.
 
Ndugu zangu,

Ulimwenguni pote kama mwanasiasa anatoa hoja za wananchi hawezi kuziiliwa au kukamatwa bila wananchi kulalama.

Maandamano ya wananchi hayatokani na mwanasiasa bali huletwa na wananchi wenyewe.Tumeona jinsi wananchi walivyovalia njuga hoja ya makato kwenye simu hadi serikali ikajitokeza na kuahidi kulifanyia kazi.

Kwa haya yanayoendelea Mwanza iwe fundisho,wananchi wamewapuuza.Agenda yenu haitokani na wananchi bali wafadhili wenu.

Kongole Watanzania!
Seng kweli wewe, yaani katiba inayopiganiwa kwa ajili ya ustawi wa tanzania, unaleta kisengere juujuu, twaliwa mapema
 
Eti tuingie barabarani mleteni mtoto wa Mbowe atangulie Kwanza ndo tutajua wako serious.
 
Ndugu zangu,

Ulimwenguni pote kama mwanasiasa anatoa hoja za wananchi hawezi kuziiliwa au kukamatwa bila wananchi kulalama.

Maandamano ya wananchi hayatokani na mwanasiasa bali huletwa na wananchi wenyewe.Tumeona jinsi wananchi walivyovalia njuga hoja ya makato kwenye simu hadi serikali ikajitokeza na kuahidi kulifanyia kazi.

Kwa haya yanayoendelea Mwanza iwe fundisho,wananchi wamewapuuza.Agenda yenu haitokani na wananchi bali wafadhili wenu.

Kongole Watanzania!
Kweli kabisa,ishu ya katiba ni ajenda ya wanasiasa na baadhi ya wanaharakati.Mwananchi wa kawaida hana huo mpango
 
Back
Top Bottom