Naogopa kukupa mbinu za kumkwepa huyo fundikiller maana tuendako tutaanza kuangaliana wembamba wa pua badala ya alama ya chanjo ya ndui tuliyoizoea!Zina cumu halafu zina kimervy
Hii amri kutoka juu na ishuke hata sasa hivi ikachakaze pale magigoni.
Nadhani it's too local... Ingeuzwa hata hapo ulsya wangepata ushauri wa ingredients bora zaidi...Bwana makondeko? Nimemiss John walker... Hii pombe siku hizi hainivutii ni kama imechakachuliwa vile!
Ndugu, miye nimekuelewa. Pamoja na PCB yangu, nilikuwa Mzuri kwenye Fasihi (Kiswahili) na Literature (Kiingereza) kidato cha 3/4....Hapana hayuko pekeyake
[emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119]Wewe ndiye umeelewa peke yako
Mantiki ya mada je, umeijua lini au umeishia kichwa cha habari?Mshana toka umeoa umeshuka sana kiwango cha kuleta mada za kikubwa maa hiyo fundikiller nimejua nikiwa STD 3
Sio watch out, ambayo ni sahihi. Ilikuwa 'watch it!'If you think you are free, watch out not to zati eksitendi
Una uhakika itakuwa hivyoNamalizia honey muno kuanzia mwezi ujao nitakuwa mteja mzuri wa ndimu na udongo... Bila hivyo sitapokelewa home