Fundi wa umeme wa gari - Dodoma

Nyati

JF-Expert Member
Mar 6, 2009
2,489
1,814
Wakuu habari za kazi,

Jamaa yangu gari linamsubua baada ya kusafisha / kuosha Injini ya gari. Tatizo ni indicators zinasumbua, mara ziwake mara zisiwake.

Naomba kama kuna fundi mweledi aliyeko Dodoma nisaidiwe namba yake
 
Hivi hua mnaosha Engine ya gari ili iweje mkuu?

Usafi mwingine ndio unaletaga majanga kama hayo.
 
Wakuu habari za kazi,

Jamaa yangu gari linamsubua baada ya kusafisha / kuosha Injini ya gari. Tatizo ni indicators zinasumbua, mara ziwake mara zisiwake.

Naomba kama kuna fundi mweledi aliyeko Dodoma nisaidiwe namba yake
Gody +255 653 670 667
 
Back
Top Bottom