Fundi umeme naomba msaadà

Joined
Apr 22, 2017
Posts
26
Reaction score
3
Me ni muhitimu wa ufundi umeme mwaka 2015 ila bado sijapata fursa nzuri ya kufanys ili niweze kuendeleza taaluma yangu. Me ni mhitimu chuo cha ufundi stadi sengerema mwanza kwa sasa niko mwanza nyamagana mkolani kama unajiskia au unaweza kunisaidia kwa njia moja ama nyingine kunisaidia tafadhali naomba usi site. Waweza kunipigia kwa sim 0746565455 au kajunakajuni@gmail.com asante sana. Naomba kazi tafadhalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…