Fundi simu online system (unlocking,flashing) is officialy up and running please check it out!!!

Fundi simu online system (unlocking,flashing) is officialy up and running please check it out!!!

Inshangaza kuona kwamba mtu anaaminisha kuipeleka simu kwa fundi akaicha halafu akairudia, lakini haamini kuja kuchukuliwa halafu akairudishiwa. Anyway mistrust katika online business ni tatizo la watu ambao sio waaminifu, lakini haya mambo yanafanyika, yanaokoa muda na yanaleta mabadiliko katika jamii.
 
read you green!would a client beable to find y our physical address just 'in case' as you put it?would you be operating legally meaning the 'sirikali' recognizes you? you know the thing iz our little beloved toys are expensive and easy to make run with,we normally goes to techies recommended by a friend or the one we know in person.
The big question leaving aside receiptss ,delivery note ding! ding! ding! what guarantee we have that your beloved G-note ,Iphone ,Lumia BB,xperia iko kwa msamaria mwema?

Ni kweli kabisa kaka.
Kwa sasa nimeisha peleka documents zangu brela kwa ajili ya kusajili company yangu kwa jina la Kariakoo Online.
To make things run cleary and operate legally.
Pia ofisi yangu ipo kariakoo mtaa wa uhuru na aggrey karibu na akiba commercial bank. Zamani lilikua kanisa la TAG kariakoo room no 14.
 
still no answerz, believe me or not we a traped by modern thieves

Sorry for delaying.
Seriously i am not a modern thief, i demand apology for that.
I did this job with different online and they are happy now.

Because for my service I do your job first then i get paid later.
If you dont believe me just take your time to read this thread https://www.jamiiforums.com/matanga...ing-and-unlocking-only-software-problems.html

If you still don't believe me, i cant force you.
 
Kaka usirudi nyuma, taratibu utafika. Watu kama nyinyi ndio mtakaobadilisha jamii yetu. Hongera sana.

Thanks sana mkuu,
I believe we can change Tanzania.
Congrats for having clear eyes which can see well.
 
Inshangaza kuona kwamba mtu anaaminisha kuipeleka simu kwa fundi akaicha halafu akairudia, lakini haamini kuja kuchukuliwa halafu akairudishiwa. Anyway mistrust katika online business ni tatizo la watu ambao sio waaminifu, lakini haya mambo yanafanyika, yanaokoa muda na yanaleta mabadiliko katika jamii.

Kweli kaka,
Lakini naamini wakati utafika na watu wataelewa nini tunafanya.
 
Doesn't make sense at all.
Kama mtu ameshawatumia IMEI number na software ikagundua gharama za kuiunlock iyo model iko innovative kama mtamcharge mtu gharama ya ziada ya kwenda kuiunlock simu yake pale alipo.
Hakuna kitu kama icho eti uje nikupe simu yangu nikitegemea utanirejeshea!!
Jaribuni kufikiria nje ya box mtafanya biashara nzuri!!

Mimi aliisha wahi kuunlock huawei yangu ascend y200 by IMEI.
Tena nilimtumia IMEI kwa sms. This time ame improve ameweka online system which you can place order online.

I think this is nice move, hongera mkuu.
 
Ni kweli kabisa kaka.
Kwa sasa nimeisha peleka documents zangu brela kwa ajili ya kusajili company yangu kwa jina la Kariakoo Online.
To make things run cleary and operate legally.
Pia ofisi yangu ipo kariakoo mtaa wa uhuru na aggrey karibu na akiba commercial bank. Zamani lilikua kanisa la TAG kariakoo room no 14.
Now we can breath easier matey!we do not wish and hope to have a legal battle but it will be much worse to have a legal battle to inexistance entity!
 
Sorry for delaying.
Seriously i am not a modern thief, i demand apology for that.
I did this job with different online and they are happy now.

Because for my service I do your job first then i get paid later.
If you dont believe me just take your time to read this thread https://www.jamiiforums.com/matanga...ing-and-unlocking-only-software-problems.html

If you still don't believe me, i cant force you.

Wewe vumilia tu kaka, Baada ya miaka kumi watu watakuja kujua kwamba uliwatangulia vibaya sana kuwa na vision. Kama ilivyo Bongo wakati huo nadhani watu wengi watakuwa wameshaku-copy.

Mimi binafsi simfahamu muhusika anayefanya biashara hii lakini nina sababu 3 kubwa za kumuunga mkono:

1. Hili suala la ku-anlock kwa mtindo huu nalifahamu, lipo na nimewahi kulifanya. Hivyo hakuna kiroja kipya hapa.

2. Matapeli huwa hawaipendi paypal kwa sababu Paypla hurudisha fedha za wateja kisha humfatilia muhalifu. Sasa jamaa ameweka paypla kwenye web yake.

3. Nimepitia website yake nimejifunza kwamba huyu sio tapeli, nasema hivi kwa sababu binafsi nimewahi kuibiwa kwenye eBay. Nilinunua HTC Advantage miaka mingi nyuma, ingawa nilirudishiwa fedha zangu na Paypal matapeli huweka vivutio viwili katika mitandao yao:
a. Huweka vitu vingi vya thamani kubwa na vyenye kuvutia mno

b. Hutangaza urahisi wa bei ili kuwa vutia wengi.

Huyu jamaa ana simu zake chache ambazo ni used, kwenye sehemu ya simu mpya hana hata simu moja. Hivyo uzoefu unonyesha huyu si tapeli kama ambavyo wengine wameanza kumshutumu. Mwisho namuunga mkono kwa sababu lazima na sisi tuwe tech driven. Tutaendelea kuiogopa teknolojia mpaka lini?
 
Wewe vumilia tu kaka, Baada ya miaka kumi watu watakuja kujua kwamba uliwatangulia vibaya sana kuwa na vision. Kama ilivyo Bongo wakati huo nadhani watu wengi watakuwa wameshaku-copy.

Mimi binafsi simfahamu muhusika anayefanya biashara hii lakini nina sababu 3 kubwa za kumuunga mkono:

1. Hili suala la ku-anlock kwa mtindo huu nalifahamu, lipo na nimewahi kulifanya. Hivyo hakuna kiroja kipya hapa.

2. Matapeli huwa hawaipendi paypal kwa sababu Paypla hurudisha fedha za wateja kisha humfatilia muhalifu. Sasa jamaa ameweka paypla kwenye web yake.

3. Nimepitia website yake nimejifunza kwamba huyu sio tapeli, nasema hivi kwa sababu binafsi nimewahi kuibiwa kwenye eBay. Nilinunua HTC Advantage miaka mingi nyuma, ingawa nilirudishiwa fedha zangu na Paypal matapeli huweka vivutio viwili katika mitandao yao:
a. Huweka vitu vingi vya thamani kubwa na vyenye kuvutia mno

b. Hutangaza urahisi wa bei ili kuwa vutia wengi.

Huyu jamaa ana simu zake chache ambazo ni used, kwenye sehemu ya simu mpya hana hata simu moja. Hivyo uzoefu unonyesha huyu si tapeli kama ambavyo wengine wameanza kumshutumu. Mwisho namuunga mkono kwa sababu lazima na sisi tuwe tech driven. Tutaendelea kuiogopa teknolojia mpaka lini?

Kaka umetisha sana,
Yaani bro umemaliza kila kitu mimi sina cha kusema.

I absolute guarantee your support.
 
Back
Top Bottom