Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,820
- 4,264
Inawezekana ku unlock, je ina lock ya network au umesahau password??
Password
Inawezekana ku unlock, je ina lock ya network au umesahau password??
Ofisini kwenu wapi?
Password
kama ni clone huwa zinasumbua sana,
lakini kama ni genuine inawezekana ni kazi ya dakika 15 tu,
bei ni 20,000/=
kuna ndugu yangu anayo clone,
alinunua posta, jamaa waka mpiga na feki.
sasa ameweka patern lock na kwa sasa inadai gmail account,
nayo amesahau password.
fundi wa huku kwetu ameshindwa je inawezekana?
Mkuu sijakupata kidogo kuhusu mitaa, Agrrey na Uhuru hii mitaa ipo mbalimbali.Ok, jina la office ni Kariakoo Online.
website ni .::Kariakoo::.
phone 0715353108 or 0756144060
email " mwamalekela@gmail.com
location : kariakoo mtaa wa uhuru na aggrey opposite na shule ya msingi uhuru.
utaona bango limeandikwa kariakoo online.
karibu sana.
lakini nimeisha unlock simu kibao tu online kupitia site yangu.
so hakuna utapeli wowote hapo.
Unaweza kubadili windows phone kuwa android?
Unweza ku unlock samsung note 2 galaxy ambayo iliingia hapa nchini kama sample. Yaani not for sale
Ni HTC, bahati mbaya nipo safari na nimeiacha home, hopefully mwisho wa mwezi nitakujulisha
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
UNLOCKING ANY GSM PHONES
- IPHONES
- NOKIA
- SAMSUNG
- ALCATEL
- BLACKBERRY
UNLOCKING ANY GSM MODEM
- ZTE
- HUAWEI
- VODAFONE
FLASHING ANY GSM PHONE
- IPHONES
- NOKIA
- SAMSUNG
- ALCATEL
- BLACKBERRY
JAIL BRAKING IOS
ROOTING ANDROID OS
CONTACTS
0715353108
0756144060
E-mail: mwamalekela@gmail.com
Mkuu mm natumia samsung gallaxy s -i897 ya At&t. Ni product nilioletewa toka nje ilivyofika hapa ikafanyiwa configuration na mm nikaanza kuitumia. Sasa siku moja nilibadili line yangu ya tigo nikaweka line ya mtu mwingine ya tigo ikafanya kazi. Niliporudishia line yangu ikakataa kabisa ikaniomba network pin na mm sikua nazijua nikawa nazibahatisha mpk ikajilock. Baadae ilibidi niipeleke kwa fundi na wakaikolokochoa sasa ivi iko poa. Ila kutokana na matatizo ya kimtandao natamani nibadilishe line lkn naogopa isije kubuma km mwanzo. Je unanishauri nifanyeje?
kama huyo fundi alifanya unlock then haita sumbua.
but for what i know hizo samsung ndo matatizo yake.
hata ukiunlock na ukibadili tu sim card lock hurudia tena.
so nect time ikilock ilete nitakupatia na unlock pin yake. just in case.
kama huyo fundi alifanya unlock then haita sumbua.
but for what i know hizo samsung ndo matatizo yake.
hata ukiunlock na ukibadili tu sim card lock hurudia tena.
so nect time ikilock ilete nitakupatia na unlock pin yake. just in case.
iphone 5 unlock ni bei ngapi? iko na o2 ya uk