Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Mkuu sirleondavid mimi nina htc one x nahitaji kuiflash, je mnaweza kwa simu za htc. Tafadhari nahitaji jibu
 
Last edited by a moderator:
simu yangu nikipoga hasa ikiwa na laini ya tigo inaandika hivi halafu inakatika
 
mkuu mm nna nokia lumia 800, ime stuck tu na ukiwasha inaandika nokia tu no more .. hapo vp
 
cm yangu samsung gt 5300 imezingua kuna system program zimepotea.pia inachelewa kuwaka.vp inaweza flashika ikarudi ka mwanzo.na bei gani
 
cm yangu samsung gt 5300 imezingua kuna system program zimepotea.pia inachelewa kuwaka.vp inaweza flashika ikarudi ka mwanzo.na bei gani

ndio inawezeka,
time less than 15mins
check me on 0715353108
 
Cm yangu sumsung wave 3 nawezwa kuibadili kuwa android
 
Back
Top Bottom