Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

aisee fundi nina modem ya Airtel nataka itumie line zote, help.
 
Nina htc desire hd2 haitaki kuingiza whatsapp wala app yoyote.

Nahitaji ku upgrade to windows 7
Itakua bei gani??
 
Nina htc desire hd2 haitaki kuingiza whatsapp wala app yoyote.

Nahitaji ku upgrade to windows 7
Itakua bei gani??

U cant.. htc ni android phones labda akuwekee custom roms MIUI ni bomba zaidi..

I stand to be corrected
 
U cant.. htc ni android phones labda akuwekee custom roms MIUI ni bomba zaidi..

I stand to be corrected

Sio kwamba htc zote ni android,
Hd 2 ni windows phone by origin but can accept customized android as well.

So anaweza upgrade to win 7 and enjoy all free apps from market
 
Kaka mtaalam naomba msaada wa namna gani ni connect my blackberry 9700 na internet. Ndio kwanza naanza kutumia aina hii help please.
 
Kaka mtaalam naomba msaada wa namna gani ni connect my blackberry 9700 na internet. Ndio kwanza naanza kutumia aina hii help please.

hiyo bosi nenda nayo kwa wenye mtandao.

kama unatumia vodacoma
piga *149*01# kisha fuata maelekezo
 
mkuu simu yangu nokia 7230 inakuwa slow sana kuperuzi internet nataka kurestore inaniomba security code ambayo siijui nifanyeje?

ntafute kwa namba zifuatazo nkutatulie tatizo sh.elf 5 tu.napatikana kgogo cm pia ntakuwekea settings zenye kasi hilo ni tatizo dogo mi ndo mr.IT 0659626782
 
mkuu lg from ATT sim unlock pin here is imei 354552658426584
please send me its unlock codes
 
Back
Top Bottom