Nimeona kwenye TV ya Tanzania (TBC) jana kuwa kuna fundi mmoja amekamatwa kwa kutengeneza mizani ambazo hazikidhi ubora.
Tanzania tumezoea kuagiza mizani toka Kenya, lakini huyu baba, kwa kuona soko la mizani TZ ni la wachovu pia, wasioweza kumudu bei ya hizo originals, alitumia ujuzi wake na local materials, kama sikosei akatengeneza mizani ambazo zinauzika vizuri tu, kwa maoni yangu huyu ndio sifa kubwa ya mwalimu wake, huyu ni independent thinker wa siku za sasa, huyu ni fundi anayetamani, anayepanga na kutekeleza ndoto yake, huyu analijua soko.
je huyu ni milionea mtarajiwa???
Au ni mfungwa mtarajiwa kwa kuwa ametengeneza bidhaa bila kukidhi viwango?
Wataalamu tusaidieni
Tanzania tumezoea kuagiza mizani toka Kenya, lakini huyu baba, kwa kuona soko la mizani TZ ni la wachovu pia, wasioweza kumudu bei ya hizo originals, alitumia ujuzi wake na local materials, kama sikosei akatengeneza mizani ambazo zinauzika vizuri tu, kwa maoni yangu huyu ndio sifa kubwa ya mwalimu wake, huyu ni independent thinker wa siku za sasa, huyu ni fundi anayetamani, anayepanga na kutekeleza ndoto yake, huyu analijua soko.
je huyu ni milionea mtarajiwa???
Au ni mfungwa mtarajiwa kwa kuwa ametengeneza bidhaa bila kukidhi viwango?
Wataalamu tusaidieni