Fundi Maiko anavyokuahidi na kitu anachokutolea

Fundi Maiko anavyokuahidi na kitu anachokutolea

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,353
1758002075667.png

Fundi Maiko anakuhakikishia kabisa utapata kitu na box kama picha inavyoonyesha. Kwakua likizo yako ni ya wiki tatu, wiki ya kwanza ulimtafuta fundi, wiki ya pili mlishughulika na kibali cha ujenzi pamoja na kuna vifaa. Wiki ya tatu mchumba msingi na unapata jamvi limemwagwa.

Unatuma pesa kutoka huko uliko, likizo inayofuata unakuta hali kama hapo juu. Fundi kama ramani hukuielewa si ungesema tangu mwanzo nitrite fundi mwingine!
 
Unatuma pesa kutoka huko uliko, likizo inayofuata Makita hali kama hapo juu. Fundi kama ramani hukuielewa si ungesema tangu mwanzo nitrite fundi mwingine!
Hio picha ya chini tofali zake zote zimelazwa km linavyojengwa kanisa ila hio ya juu tofali zimesimamishwa lazima kitokee kitu tofauti
 
Hiyo nyumba kama ipo DSM na haina AC utatamani ukalale nje kutokana na joto

Amejenga nyumba fupi utasema hela ya materials analipa yeye 🙌
 
Hiyo nyumba kama ipo DSM na haina AC utatamani ukalale nje kutokana na joto

Amejenga nyumba fupi utasema hela ya materials analipa yeye 🙌
Hakuna nafasi ya mzunguko wa hewa.
 
Huna ndugu au jamaa au rafiki wa kukusimamia nyumba yako?

Ubinafsi unawatesa watu sanaaa
 
Architect anasoma miaka 5 chuo,
Engineer miaka 4,
Fundi maiko
miaka 0?
Lazima kitokee kitu cha tofauti kama umempa kazi fundi maiko. Fundi maiko anapewa kazi na kusimamiwa na hao wa juu yake, na ukifika site usiongee nae chochote kuhusu Kazi (chain of command ifuatwe).
Pole Mkuu, kukwepa gharama za utaalamu kwenye ujenzi ni hasara kubwa mno.
 
Huna ndugu au jamaa au rafiki wa kukusimamia nyumba yako?

Ubinafsi unawatesa watu sanaaa
Ndugu/rafiki? Asimamie material ama unamaanisha asimamie kitu gani mkuu?
 
View attachment 3473144
Fundi Maiko anakuhakikishia kabisa utapata kitu na box kama picha inavyoonyesha. Kwakua likizo yako ni ya wiki tatu, wiki ya kwanza ulimtafuta fundi, wiki ya pili mlishughulika na kibali cha ujenzi pamoja na kuna vifaa. Wiki ya tatu mchumba msingi na unapata jamvi limemwagwa.

Unatuma pesa kutoka huko uliko, likizo inayofuata Makita hali kama hapo juu. Fundi kama ramani hukuielewa si ungesema tangu mwanzo nitrite fundi mwingine!
Fundi pamoja na client wake hawakujua ni nini kinatakiwa.

POLENI
 
Architect anasoma miaka 5 chuo,
Engineer miaka 4,
Fundi maiko
miaka 0?
Lazima kitokee kitu cha tofauti kama umempa kazi fundi maiko. Fundi maiko anapewa kazi na kusimamiwa na hao wa juu yake, na ukifika site usiongee nae chochote kuhusu Kazi (chain of command ifuatwe).
Pole Mkuu, kukwepa gharama za utaalamu kwenye ujenzi ni hasara kubwa mno.
Siokweli naona hii mada imekuja kutufurahisha.
 
Back
Top Bottom