Fumanizi

Lift 2 unapewa papuchi hapo huyo dada aseme ukweli kampendea jamaa lift, inaonekana anashobokea magari hata huyo jamaa ajitume kwenye 6×6 haisaidii mke macho juu.mimi ningefukuzia mbali akipewa lift 2 anatoa mechi
 
Kadanganye mambumbu wewe. Unafikiri watu wengine hawafuatilii habari. HUNTERS ILIUNGUA WIKI ILIYOPITA NA HAITOI HUDUMA. Kakojoe ulale na stori zako za kutunga. Na mnaochangia thread hizi za uongo na nyie ni waongo pia.
 
Namwonea huruma huyo mwanaume aliye pigwa tu. Hapa nasema alionewa na haifai kurudia tena upunguani huu. Mwenye mke alishaiua ndoa yake siku nyingi tu. Tangu ajiokotee hicho kitoto kilichokuwa kinapita tu akajiona kuwa naye ni kidume. Alianza kumdhalilisha mke wake. Aidha kwa kuwa na michepuko au aliamua kuingia kwenye ulevi. Akaisahau ndoa yake.
Shemeji naye akashindwa kujichuwa kila siku, jamaa anaangalia kando, kwa nini asijitafutie kipoozeo??
Mpe rafiki yako ushauri mzuri tu. Arudi nyumbani au aendelee na mchepuko wake lakini asiendelee kumtesa mkewe. Kama ni vibaya kwake kufumaniwa pia ni vibaya kufumania. Mkewe alishatangaza hana mume bali mlinzi na mlishi tu ndo maana ananenepeana.
Wazee wanasema; Mke sio umlishe ugali tu na kumvika, mtosheleze afike kileleni. Hapo una mke. Atakuheshimu wala nje haendi.
 
 

Yani aliogopa kumkataa kwa kuhofia lift?? Hata wewe inakuingia akilini? Hata ni mkeo hapo jua huna mke!!!
 
Mijianaume mijinga kama hilo halihitaji ushauri!. Hata huyo mke ni kiazi fulani!.
Sorry, kupitia "graphology", this story looks too good to be true!.
Pasco
 
Haya mambo ya simu haya..anyway mwenye makosa ni huyo mama na hivi wanaume kusamehe makosa kama hayo ni ngumu sana,kushirikisha wazazi ni aibu tupu kwa huyo bibie...swala gumu sana hili kushauri
Kweli michepuko sio dili
 

Hiyo Ndoa ina watoto?
 
aisee....!

bado nimepigwa na bumbuwazi! how comes ndoa inachukuliwa kirahisi rahisi hivyo kama mchezo wa kuigiza? hajaolewa wakati ana mume jamani?:A S 13:


mkuu Rich Pol, naomba umalizie hicho kisa! jamaa baada ya hapo alimfanya nini mke wake?

Ajabu hajaenda kumshitaki kwao, bado wako nae japo wanalala room tofauti, ILA anaonekana bado anampenda mke wake.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mwanamke si anajinadi hajaolewa?
Mshauri jamaa yako apige kazi mkewe ajione kweli yuko kwenye ndoa!!!
Atapigana kila siku!

Baada ya fumanizi shemeji yangu akawa ananitafuta tuongee anataka tuonane sehemu wawili tu tuongee, nikaogopa hasa mitego yake! Asije akaniharibia kwa rafiki yangu, nikamfuata kwake nikaongea nae hapo hapo.
 
Hapaswi kushauriwa huyo.Anapaswa kuamua kwa jinsi navyojisikia moyoni mwake.Hata walipoanza mapenzi na huyo mkewe aliamua kwa kufuata alichokisikia moyoni mwake sio.:nod:
 
ni kweli kabisa huwezi kuchunga mtu na hapo hakuna ndoa tena! Tena ndo wataendelea kuiba sana tu.binadamu wanyama wabaya kuliko wote duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…