Fumanizi lazua balaaaaaa

Fumanizi lazua balaaaaaa

MR. ABLE

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
1,480
Reaction score
946
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa kama alivyozaliwa.
Konda akawa anamshangaa!!!!!!!
jamaa akamuuliza konda "unashangaa nini?"
Konda; sishangai uchi wako, ila najiuliza nauli yako umeweka wapi???
 
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa kama alivyozaliwa.
Konda akawa anamshangaa!!!!!!!
jamaa akamuuliza konda "unashangaa nini?"
Konda; sishangai uchi wako, ila najiuliza nauli yako umeweka wapi???

Atakuwa kaibana kwa nyuma. Teh
 
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa kama alivyozaliwa.
Konda akawa anamshangaa!!!!!!!
jamaa akamuuliza konda "unashangaa nini?"
Konda; sishangai uchi wako, ila najiuliza nauli yako umeweka wapi???

baada ya konda kumuuliza jamaa mchz akaingiza kidole sikioni kisha shiling mia mbili ikadondoka chini then jamaa akaiokota na kumpa yule konda
 
Back
Top Bottom