Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa kama alivyozaliwa.
Konda akawa anamshangaa!!!!!!!
jamaa akamuuliza konda "unashangaa nini?"
Konda; sishangai uchi wako, ila najiuliza nauli yako umeweka wapi???
Jamaa alifumaniwa akakimbilia kwenye daladala akiwa kama alivyozaliwa.
Konda akawa anamshangaa!!!!!!!
jamaa akamuuliza konda "unashangaa nini?"
Konda; sishangai uchi wako, ila najiuliza nauli yako umeweka wapi???