Fumanizi La MWAKA

Fumanizi La MWAKA

Mbuzi mzee kwere yaani mpaka unakutwa maana kufumaniwa ni mpaka uwe ndoani sasa sijui mbuzi mzee ameoa au vipi?
 
Sasa hiyo ndoo ya maji inafanya nini humo??? Doh, waswahili tuna vituko!!
 
Mwanaume hapo hayupo imekuwaje? Daha mwanamke limempata hili!! Halafu lina minyama uzembe na wala si lizuri sijui huyu mume wa pendo alivutiwa na nini? Kweli kila mwanaume ana kinachompa uchizi!! Hapa mimi chaji haikamati kabisa.

ni kwel mkuu maana kuna mamen wengne wanabaka hata wale ambao hawana akil timu kwahivyo atuwez fahamu labda msela kapendea mwili mkate
 
Back
Top Bottom