salehe mahonyo
Member
- Mar 18, 2018
- 31
- 7
Naomba kuuliza ,hivi bs of architecture INA soko katika ajira?
Kwani lazima uajiriwe soma utuchoree ramani za nyumba na kutuuzia kwa bei nafuu utatajirika sana tuNaomba kuuliza ,hivi bs of architecture INA soko katika ajira?
KamA unaweza kuchangia do it.sio kukosoa lugha au u mwl Wa kiswahl eeAlafu form six leaver naomba mrekebishe lugha zenu "fursa"
Haya ila usisahau hilo.KamA unaweza kuchangia do it.sio kukosoa lugha au u mwl Wa kiswahl ee
Hii course Sio lazima uajiriwe unaweza kujiajiri ww km ww tu na ukapata kipato kizuriNaomba kuuliza ,hivi bs of architecture INA soko katika ajira?
Acha kujifanya lagard mkuu, kubali kurekebisha pale unapokosea wewe sio Mungu usikosee.KamA unaweza kuchangia do it.sio kukosoa lugha au u mwl Wa kiswahl ee
Hio ndio shida ya watu wasiojielewa kwnn mnahoji vtu visivyo vya msingi,,? Kama unaweza jib au hujaelewa nn hapoAcha kujifanya lagard mkuu, kubali kurekebisha pale unapokosea wewe sio Mungu usikosee.
kwa hiyo kukataa kurekebishwa ni kujielewa?Hio ndio shida ya watu wasiojielewa kwnn mnahoji vtu visivyo vya msingi,,? Kama unaweza jib au hujaelewa nn hapo
Kama unaelewa vizuri michoro na unajua kuchora ni kozi nzuri kwako, ubunifu wako tu.Naomba kuuliza ,hivi bs of architecture INA soko katika ajira?