Mhimili uliojichimbia
Senior Member
- Jul 2, 2017
- 192
- 235
Usiwapandishe mkuu ni nafasi ya tatu(3)Yaani tunacheza Nao kama watoto.wetu kabisa..
Halafu ukiambiwa Eti ndo.wanaongoza Ligi ya Algeria na Wale waliomcharaza Utopolo wako nafasi ya Pili Huwezi kuamini