johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
La kuwapeleka wabunge wanaojitambua karantini bila makubaliano rasmi.Ushauri kwa Kiswahili ni wingi na umoja. Kwenye ule ushauri walishauri mambo mengi sana. Wewe ni lipi hasa unaona ni la kijinga?
Halafu unatakaje CCM waunge mkono jambo la CHADEMA??
Halafu akataka bunge zima liige.....kisa mtoto wake yuko kwenye karantini ya matibabu Temeke.
Ukiendesha chama kama familia yako lazima tu utakiuwa!