Millitarydoctor
Senior Member
- Sep 20, 2019
- 173
- 126
Mkuu narudia swali, ivi wewe ni mgombea kweli au wanakupakazia?🙃🙃huna lolote kapuku wee !!
Mkuu narudia swali, ivi wewe ni mgombea kweli au wanakupakazia?🙃🙃huna lolote kapuku wee !!
nimejiridhisha kwamba huna akili na nakupuuza rasmiMkuu narudia swali, ivi wewe ni mgombea kweli au wanakupakazia?🙃🙃
Nimegundua wewe sio kiumbe ni robot 😂😂nimejiridhisha kwamba huna akili na nakupuuza rasmi
Labda mgombea mabwana huyoMkuu narudia swali, ivi wewe ni mgombea kweli au wanakupakazia?
Eti atashinda labda kushinda njaaMkuu narudia swali, ivi wewe ni mgombea kweli au wanakupakazia?
Katika hotuba hiyo lipi jipya ambalo Mbowe anataka Serikali ifanye kudhibiti maambukizi ya COVID-19. Hotuba imesheheni masuala yanayohusu watu, hususani kuwalslaumu Viongozi wakuu wa mihimili ya Dola (Bunge na Serikali), kwa lugha isiyo na staha, kwa Kiongozi wa ngazi yake.Mjinga ni nani? Wale wanaoitwa wapumbavu ni haki yao kuitwa hivyo? Hivi lugha zake yeye mwenyewe zina staha??
Hakika ushauri wa Mbowe ni wa kijinga. Aliwaamuru wabunge wake "lockdown" na baada ya hapo wakarejea kwa wenzao ambao aliamini ni wagonjwa!!Ushauri ni wa kijinga ndio maana zaidi ya nusu ya wabunge wa Chadema waliukataa.
Anayetoa ushauri wa kijinga ndio mwenye hiyo sifa ya ujinga!