MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
haya tufanye ccm imeondoka,maana mnasema tujiandae kushindwa,sasa nataka kujua,baada ya ccm kuondoka chama gani kitashika dora...naomba unipe jibu chama kitachoingia madarakani baada ya ccm, maana katika maeneo ya kupigia kura hakuna sehemu itakayo andikwa ukawa
utaona na kusoma mwenyewe... Si unajua kusoma!! Basi utasoma october 15 na utajua ni chama gani