kusini boy
New Member
- May 11, 2015
- 4
- 0
Haya bhana ngoja tuone.
SAFI SANA MKUU..., TEYARI HII DOCUMENT MUHIMU KTK SAFARI YETU YA KUKOMBOA TAIFA LETU KUTOKA KWENYE WAKOLONI WEUSI, WEZI, RDCs, IKO KWENYE DESKTOP ZETU!PDF copy
Wewe nadhani ulipata zero plus! Hakuna hata siku moja umewahi toa credit kwa Mbowe kwa hiyo wewe una zero plus maana weye pia mlalamikaji tu!Mkuu, hakuna kazi rahisi hapa duniani zaidi ya kulalamika. Kwa division Zero ya Mbowe usitegemee akaja na cha maana. Yoote aliyoongea kuhusu tume ya uchaguzi Jaji Lubuva alijibu jana
Hotuba ya malalamiko.
Hotuba ya malalamiko.
Leo mtaosha fisi sanaMatatizo ya kupata div 0 ndo haya,kelele kibao mwisho wa siku anavuta posho mfukoni
Hats off to Mariam Msabaha...umezitendea haki dakika zako bungeni. Umewatendea haki wanaCHADEMA. Umewapatia wana UKAWA jioni murua kabisa. Hitting dem (CCM) below the belt with facts. Neno moja tu ulikuwa unawakilisha kutokea kwenye mchango wa Kamanda Lissu. WAMESHINDWA.
Hamna lolote la maana zaidi ya kupiga kampeni bungeni. Hii ndio faida ya kutokua na elimu. Zee zima linaongea rubbish
Mwanahabari mwenzangu Bbc wametoa ccm wamechanganyikiwaHotuba hii ya Mbowe ni mwiba mkali kwa utawala huu.
Hotuba hii ya Mbowe ni mwiba mkali kwa utawala huu.
Nafurahi kuona hata wewe umeisoma, najua moyoni umeikubali sema hapa unazuga tu teh teh
Nafurahi kuona hata wewe umeisoma, najua moyoni umeikubali sema hapa unazuga tu teh teh