Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,392
Mambo nyuma ya pazia yameanza kufichuka.Deo mjumbe wa PAC ameeleza jinsi mke wa Maswi alivyomwangukia kumtetea mumewe Eliakim Maswi. Pamoja na ujeuri wa mumewe lakini mama huyu alimwangukia makamu asimwanike. Deo ameenda mbali zaidi na kusema kuwa alipokuwa akisoma maoni ya kumwajibisha waziri mkuu,alimsikia PM Pinda akishusha pumzi nzito sana. Aidha Zitto naye amebainisha kuwa alilazimika kumuita dada yake Dodoma kumpikia misosi akiwa na hofu ya kuwekewa sumu.