Mkuu,Hawa wasanii wa PAC isingekuwa UKAWA kuwa against ma CCM no matter what,wangehadhirika vibaya sana.
Report yao ilikuwa na mapungufu makubwa sana,hakuna la maana waliloongezea kwenye report ya CAG.
Walishindwa kumuhoji CAG ili kupata OBJECTIVE OPINION kama pesa ni za serikali au la,sielewi kazi ngumu wanayosema walifanya ni ipi?
Hawa wasanii wa PAC isingekuwa UKAWA kuwa against ma CCM no matter what,wangehadhirika vibaya sana.
Report yao ilikuwa na mapungufu makubwa sana,hakuna la maana waliloongezea kwenye report ya CAG.
Walishindwa kumuhoji CAG ili kupata OBJECTIVE OPINION kama pesa ni za serikali au la,sielewi kazi ngumu wanayosema walifanya ni ipi?
MkuuMkuu,
Ukichunguza kwa undani utagundua kuwa, hawa vijana walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameishatoa majibu ya kazi zao, ndiyo maana hata mapungufu kwenye maazimio yao hawakuweza kuyaona.
Huwezi kuwa OBJECTIVE kama umeishatoa hukumu halafu ukaanza kusikiliza kesi.
Wao walisahau kama ni sehemu ya mihimili ya Dola, badala yake wakawa kama madikteta katika maazimio yao.
Yes, kuna makosa yamefanyika katika suala la Escrow account lakini makosa hayo hayawezi kuwa ndiyo lungu la maazimio ya kidikteta katika utawala wa sheria.
Ndiyo maana waliwahi kuamulisha maofisa wakamatwe kwa sababu wamekataa kupeleka mikataba kwenye Kamati yao wakati hata utaratibu na Kanuni za Bunge haziwaruhusu kufanya kitendo kama hicho.
Acha kusupport mambo ya ajabu wewe,watanzania tunaibiwa sana,hao IPTL wenyewe wanaiba hata leo,tena pesa nyingi zaidi.kwa akili hizi acha uibiwe na kutawaliwa tu
kwako ww ndani ya PAC hakuna ukawa!!!! kwako ukawa ni asiye member wa PAC!!!!
Hizo sifa na sidhan kama mijitu mingine ina akili timamu,hawahawa ndo walizusha uongo kuwa maswi alikuwepo airport kumpokea kikwete wakati jamaa alikuwepo Dodoma.
Maswi ni jambazi sugu..sijui kwann limeponea chupuchupu
mwenyepicha ya mke wa Maswi aiweke hapa...
unanionea bure,magazeti yameripoti.kama ni udaku hama uzi tuachie sisi "wadaku"
asante mkuu.leo nipo Mwanza naelekea Nzega kufanya ile kazi,nitatumia mda mwingi ofisi ya DED na DHRO,njoo unijueHumu JF kuna wambea wengi sana, ni pamoja na wewe.
huyu ni CCM wangeweza kutumia lugha ya kiCCM.asingemfuata Zito wakati alishakuwa na bifu na mumewe.btw Zito hajaoa angeweza kumkazaKamati ya PAC ilikuwa na wajumbe 24, na 19 walikuwa wa ccm na wote walikuwa na nguvu sawa. Iweje huyo mama amfuate Filikunjombe tuu??
Hoja na maneno ya wanasiasa wetu kama haya ni kutafuta sifa na hongera za kitoto!.
Kwa hiyo Mhe. Zitto anataka kutuambia baada ya kusoma maazimio ya PAC, hata wasiwasi wa kuuwawa umeisha.
Kwani yeye kama angeuwawa, hata maazimio ya PAC yangeuwawa wakati Kamati ya PAC ilikuwa na wajumbe zaidi ya 18?
Nilishangaa sana kuwasikia eti wanasema hawakulala kwa sababu walikuwa wanalinda repoti isiibiwe. Really?
Hizi ndizo fikra na mitazamo ya kudhani bila mimi hakuna mwingine anayeweza!
Wao wameishatimiza wajibu wao kama PAC, haya mengine ni kutafuta sifa kwa nguvu.
Politics is perhaps the only profession for which no preparation is thought necessary-Robert Louis Stevenson
Habari ya maswi kwenda kumpokea raisi alizileta makonda.
Ache ujinga wake mke wa maswi alikutana naye wapi hili jamaa jinga kweli lonakula rushwa halafu kazi kujipapatua tu.
MACCM mioyo inawauma sana. Penye ukweli tuseme ukweli. Tuwape hongera kamati ya PAC kwa kufanya kazi nzuri. Wangeingiwa na choyo na ubnafsi wangeweza kuchukua mlungula na kuchakachua report. Kwa vyovyote vile hakuna ambacho kingeweza kufanyika zaidi kukubaliana na hiyo taarifa ya PAC. Nawapa pongezi wote waliokuwa kwenye kamati bila kujali chama.
Wengi wa walioko hapa ambao mioyo inawauma kutokana na mapendekezo ya PAC ni wafaidika wa karibu wa hao mafisadi ndo maana mnaandika utumbo.
Mkuu,
Ukichunguza kwa undani utagundua kuwa, hawa vijana walikuwa wanafanya kazi wakiwa wameishatoa majibu ya kazi zao, ndiyo maana hata mapungufu kwenye maazimio yao hawakuweza kuyaona.
Huwezi kuwa OBJECTIVE kama umeishatoa hukumu halafu ukaanza kusikiliza kesi.
Wao walisahau kama ni sehemu ya mihimili ya Dola, badala yake wakawa kama madikteta katika maazimio yao.
Yes, kuna makosa yamefanyika katika suala la Escrow account lakini makosa hayo hayawezi kuwa ndiyo lungu la maazimio ya kidikteta katika utawala wa sheria.
Ndiyo maana waliwahi kuamulisha maofisa wakamatwe kwa sababu wamekataa kupeleka mikataba kwenye Kamati yao wakati hata utaratibu na Kanuni za Bunge haziwaruhusu kufanya kitendo kama hicho.