Isenye
JF-Expert Member
- Dec 22, 2024
- 1,450
- 3,889
Ili wawe wanasutana vizuri hapo ikulu sio?Kama ni mtanzania na anasifa za kikatiba na akidhi vigezo vya maadili, Sioni shida akiwa Makamu
Ili wawe wanasutana vizuri hapo ikulu sio?Kama ni mtanzania na anasifa za kikatiba na akidhi vigezo vya maadili, Sioni shida akiwa Makamu
hali nishwari kabisaa na sasa hivi wajumbe washapewa urojo na ubuyu wa babu issa toka zenji mioyo yao kwatuuu na leo mama abdul yupo kizmkaz akipewa zooote za kitanganyika na anaowablend yaani leo mpaka mikono itaota sugu kwa furaha aliyonayo.Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Very trueR.I.P Magufuli bila kutujengea bwawa la umeme sasa hivi tungekuwa kwenye bonge la mgao wa umeme maana waliokufuatia hamna wanachofanya zaidi ya kufukuzana tu
Yule asiyejua kutumia kionambali?🙄😳Hamna kitu awamu hii mnaletewa makamu mwanamke filomena tax
CCM ikiona hivi yenyewe inacheeeka!! Kwa sababu inaona namna gani Ina wajinga wengi ya kuwaongoza.![]()
37K views · 1.8K reactions | Kubabakee mwaga motooo, mwaga motooo kama Dragon 🔥🔥🔥🔥🔥 NCHIMBI OUT | Twaha Mwaipaya
Kubabakee mwaga motooo, mwaga motooo kama Dragon 🔥🔥🔥🔥🔥 NCHIMBI OUTwww.facebook.com
Huoni shida? Aliyejiuzulu amejiuzulu kwa kuzingatia itifaki au kalazimishwa?Kama ni mtanzania na anasifa za kikatiba na akidhi vigezo vya maadili, Sioni shida akiwa Makamu
Tangu lini ccm wakafukutana kwa ajili ya maslahi ya nchi. CCM huwa wanaangalia vyeo tu, fukuto hilo ni la kumezea mate vyeo wala sio la kugombea haki.Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Moto na uwake wakuliponya taifa kwani hata nyasi zikichomwa zinaibuka mpya zenye afya Bora na nguvu zaidi🔥🔥🔥Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Katibu Mkuu Kiongozi anasema Mheshimiwa Rais amekubali ombi la kujiuzulu. Msisitizo Ombi.Huoni shida? Aliyejiuzulu amejiuzulu kwa kuzingatia itifaki au kalazimishwa?
Hayo ni ya kwenu Ya Ngoswe yanamhusu nini Takadini? Uaneni tu kila mtu atafikiwa kwa wakati wake!Katibu Mkuu Kiongozi anasema Mheshimiwa Rais amekubali ombi la kujiuzulu. Msisitizo Ombi.
Mbona kama umepatia utabiri?!!Hamna kitu awamu hii mnaletewa makamu mwanamke filomena tax
Dogo tunakujua vizuri we ni mzushi tu, hapo umekaa unakunywa nyagi ukifikiri wanzania ni wa hivyo!Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Sisi CCM siku hizi ni mwendo wa milungula na risasi;ndiyo vitendea kazi vyetu.Simbachawe alipotaka kuturudisha nyuma tukamdili.Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Hamna kitu hapo labda ccm ya New Zealand lakini sio hii ya wachumia tumbo.Za ndani kabisaa na uhakika
Hali si hali huko ndani ila kwa kuwa maCCM ni watu wa milungula wanaweza kuvuka.
Ila wajumbe wakichagua haki badala ya pesa moto unawaka soon
Tukuweke wapi kati ya Wapuuzi wenzetu au Mpuuzi wa pili anayetoa anagalizo ?Mitandao ni sehemu ya kipuuzi sana..mpuuzi analeta upuuzi na wapuuzi wanachangia kwa hamasa..😀 Hakuna chanzo wala msemaji mtu ameshalewa anaandika tu